MaxShimba
Platinum Member
- Apr 11, 2008
- 36,008
- 4,093
]Marko, Chapter 10[SUP]10:25[/SUP] Ni rahisi ngamia kupenya katika tundu ya sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu. Ni Rahisi kuingia Ngamia katika Tundu ya sindano kuliko Wachungaji kuingia peponi.
Ni wapi katika hiyo aya pamesema hawata ingia mbinguni?