Tuanze na wewe mkuu,uza vitu vyako vyote uwagawie masikini ili uingie peponi (kiimani)
ha ha ha hata hilo shati lako na suruali ni mali,uza tu mkuu; hapo ndipo ujue kuongea ni rahisi kuliko vitendo.Tatizo mm ni MASKINI sina ata baiskeli sjui ata nitauza nn, lakini binaadamu unaweza usimpe mtu ata sent 5 ila ukamtakia mtu mema au kumuombea afanikiwe tu basi ikawa ni bonge la Imani, na malipo ukayapata apa apa dunian kwanza
In water there is bacteria,Aliouokota....najaribu kufikiri akistaafu pensheni yake ni sh. ngapi (nipo bar lkn)
Usimtukane UHURU KENYATA.Anastahili kuwa Mjinga kuanzia leo.
ha ha ha hata hilo shati lako na suruali ni mali,uza tu mkuu; hapo ndipo ujue kuongea ni rahisi kuliko vitendo.
Usimtukane UHURU KENYATA.
Karudisha GOLD theluthi ya TANIHahahahaha , kenyatta kafanya nn mkuu
Nakubaliana na weweMkuu mm sijisifu ila mm miaka kama minne nyuma nimeshaokota sim kali kinoma na nikairejesha kwa mwenyewe coz najua sio mali yangu, washkaji waliokua pembeni yangu baada ya kurejesha waliniona fala na kuanza kunilaumu sana, na juzi kama miezi mitatu nyuma niko nchi flan kuna dada flan sjui ni wakiithopia yule mdada alidondosha pochi yake wakati mm namuona nilikua niko nyuma yake basi mm sikufungua nikamuita na kumpa pochi yake ilikua imenona sana, alinishkuru sana sana sana na alinishangaa, mm imani yangu inaniambia kuwa Dunia ni mapito, kilicho changu ni changu na kisicho changu sio changu, hio ndio System yng ya life, sijisifu ila ndio nimekutolea mfano wng
Yap. Hongera sana mkuu. Sio watu wengine wakiokota ng'ombe wanapiga mnada.Mkuu mm sijisifu ila mm miaka kama minne nyuma nimeshaokota sim kali kinoma na nikairejesha kwa mwenyewe coz najua sio mali yangu, washkaji waliokua pembeni yangu baada ya kurejesha waliniona fala na kuanza kunilaumu sana, na juzi kama miezi mitatu nyuma niko nchi flan kuna dada flan sjui ni wakiithopia yule mdada alidondosha pochi yake wakati mm namuona nilikua niko nyuma yake basi mm sikufungua nikamuita na kumpa pochi yake ilikua imenona sana, alinishkuru sana sana sana na alinishangaa, mm imani yangu inaniambia kuwa Dunia ni mapito, kilicho changu ni changu na kisicho changu sio changu, hio ndio System yng ya life, sijisifu ila ndio nimekutolea mfano wng
Yap. Hongera sana mkuu. Sio watu wengine wakiokota ng'ombe wanapiga mnada.
Vifaranga wanapiga kiberiti.
Mi ningerudishaHahaa, mkuu ulianza vizuri ila mwishoni hapo nimecheka, ila mwenyewe najaribu kuimagine hapa akiii, nisingerudisha pia Mil ngapii aah Mungu angenisamehe tuu