Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Karani mmoja nchini Nigeria amefukuzwa kazi baada ya kuwaambia wakaguzi wa hesabu kuwa nyoka alikula naira milioni 36.
Pesa hizo ni sawa na dola 100,000 za kimarekani sawa na zaidi ya Milioni 227 za Kitanzania
Karani Philomena Chieshe alikuwa akifanya kazi katika ofisi ya bodi ya mtihani ya Nigeria inayokusanya pesa za mtihani.
=====
A Nigerian sales clerk has been suspended after she told auditors that a snake had eaten 36m naira.
That's the equivalent of $100,000 or £72,250.
The clerk, Philomena Chieshe, was working at an office for the Nigerian examination board which collects exam fees.
The exam board, the Joint Admissions and Matriculations Board, told the BBC that it dismissed her claim and has started disciplinary proceedings.
The incident has been ridiculed by Nigerians on social media.
Source: BBC
Pesa hizo ni sawa na dola 100,000 za kimarekani sawa na zaidi ya Milioni 227 za Kitanzania
Karani Philomena Chieshe alikuwa akifanya kazi katika ofisi ya bodi ya mtihani ya Nigeria inayokusanya pesa za mtihani.
=====
A Nigerian sales clerk has been suspended after she told auditors that a snake had eaten 36m naira.
That's the equivalent of $100,000 or £72,250.
The clerk, Philomena Chieshe, was working at an office for the Nigerian examination board which collects exam fees.
The exam board, the Joint Admissions and Matriculations Board, told the BBC that it dismissed her claim and has started disciplinary proceedings.
The incident has been ridiculed by Nigerians on social media.
Source: BBC