Tunguja
JF-Expert Member
- Feb 15, 2018
- 450
- 327
Nauza mchele kwa bei ya jumla mkuu(Ifakara -Dar),kila wiki nasafiri mara mbili na kila safari napata faida 250K,kwa huo mtaji wa 5M,piga hesabu 250,000 X 8 = 2,000,000.Mkuu ukisema biashara unayoifanya nitakuwa nimekutoa kwenye list ya watu wenye roho za kimasikini.. wano amnini wenhine wakifanikiwa wao watafeli.., karibu share nasi!!