Jamani me nafanya kazi kama mkuu wa kituo katika kituo flani cha serikali hapa Tanzania.
Nimefanya kazi kwa weledi mkubwa sana bila kuwa na tatizo hapa kituoni kwangu. Nimejaribu kumwomba mwajiri wangu ambaye ni DED anipumzishe kutoka mkuu wa kituo na kuendelea na majukumu yangu ya fani niliyosomea amekataa pamoja na barua nilizomwandikia.
Jambo hili imefikia hivi bcoz kila wakati tunahudhuria vikao mbalimbali vya serikali bila malipo unaambiwa kuwa utumie fedha za ruzuku, shangaa ruzuku unapewa kila robo ya mwaka ambaye ni sh 46000 tu.
Kwenye hiyo hela kuna matumizi ya ofisi karatasi na kadhalika.... hadi inafikia kutumia mshahara wangu kwa kazi za ofisi sasa kwa jambo hili naomba ushauri wenu nitapataje demotion ili nirudi katika kazi yangu ya kawaida?
Jamani me nafanya kazi kama mkuu wa kituo katika kituo flani cha serikali hapa Tanzania.
Nimefanya kazi kwa weledi mkubwa sana bila kuwa na tatizo hapa kituoni kwangu. Nimejaribu kumwomba mwajiri wangu ambaye ni DED anipumzishe kutoka mkuu wa kituo na kuendelea na majukumu yangu ya fani niliyosomea amekataa pamoja na barua nilizomwandikia.
Jambo hili imefikia hivi bcoz kila wakati tunahudhuria vikao mbalimbali vya serikali bila malipo unaambiwa kuwa utumie fedha za ruzuku, shangaa ruzuku unapewa kila robo ya mwaka ambaye ni sh 46000 tu.
Kwenye hiyo hela kuna matumizi ya ofisi karatasi na kadhalika.... hadi inafikia kutumia mshahara wangu kwa kazi za ofisi sasa kwa jambo hili naomba ushauri wenu nitapataje demotion ili nirudi katika kazi yangu ya kawaida?
Hivi mmelogwa au? utafikiri hamjasoma! unatumiaje mshahara wako kwenye shughuli za serikali? Ukiitwa kikao na pesa ya nauli,chakula na malazi hakuna USIENDE tena hata ukipigiwa simu na waziri mwambie hakuna nauli na mimi sina pesa. Jadilini mnitumie muhtasari kwa e mail.
Mtukanie mama ake huyo bosi wako,kila kitu safi kabisa!Jamani me nafanya kazi kama mkuu wa kituo katika kituo flani cha serikali hapa Tanzania.
Nimefanya kazi kwa weledi mkubwa sana bila kuwa na tatizo hapa kituoni kwangu. Nimejaribu kumwomba mwajiri wangu ambaye ni DED anipumzishe kutoka mkuu wa kituo na kuendelea na majukumu yangu ya fani niliyosomea amekataa pamoja na barua nilizomwandikia.
Jambo hili imefikia hivi bcoz kila wakati tunahudhuria vikao mbalimbali vya serikali bila malipo unaambiwa kuwa utumie fedha za ruzuku, shangaa ruzuku unapewa kila robo ya mwaka ambaye ni sh 46000 tu.
Kwenye hiyo hela kuna matumizi ya ofisi karatasi na kadhalika.... hadi inafikia kutumia mshahara wangu kwa kazi za ofisi sasa kwa jambo hili naomba ushauri wenu nitapataje demotion ili nirudi katika kazi yangu ya kawaida?
Anzisha vagaranti hapo ofisini wakushushe cheo mkuuJamani me nafanya kazi kama mkuu wa kituo katika kituo flani cha serikali hapa Tanzania.
Nimefanya kazi kwa weledi mkubwa sana bila kuwa na tatizo hapa kituoni kwangu. Nimejaribu kumwomba mwajiri wangu ambaye ni DED anipumzishe kutoka mkuu wa kituo na kuendelea na majukumu yangu ya fani niliyosomea amekataa pamoja na barua nilizomwandikia.
Jambo hili imefikia hivi bcoz kila wakati tunahudhuria vikao mbalimbali vya serikali bila malipo unaambiwa kuwa utumie fedha za ruzuku, shangaa ruzuku unapewa kila robo ya mwaka ambaye ni sh 46000 tu.
Kwenye hiyo hela kuna matumizi ya ofisi karatasi na kadhalika.... hadi inafikia kutumia mshahara wangu kwa kazi za ofisi sasa kwa jambo hili naomba ushauri wenu nitapataje demotion ili nirudi katika kazi yangu ya kawaida?
nimefurahia sana huo ushauriTafuta shule ukasome, hata kama ya muda wa mwaka mmoja na ikibidi kujilipia fanya hivyo, utakuwa umebadili mazingira, baadaye utajua nini ufanye. Demotion sio nzuri kwenye kazi.
nipenda sana huo ushauriKwanini demotion? omba kwenda kusoma hata course fupi ujilipie ukirudi utakuta wameweka mtu mwingine
nimeupenda sana huo ushauri naimani ataufanyia kazi ni rafiki yangu sana.andika barua kupitia mkuu wa idara,ded ukieleza tatizo kwenda tamisemi ila jiandae kuhamishwa kituo ambacho unaweza ukaumiakm hujakunjua moyo maana wanaweza sema ukibaki hapo un aweza msumbua ki8ongozi mpya.
Siyo kila ofisa utumishi ni rahisi kupigika chukulia huyo mwanaume kwenye hii video ndio ofisa utumishi ubavu wa kumpiga unao?Mpigie simu Afisa utumishi umwite ofisini kwako akifika tu mwashe Kofi la nguvu uhakikishe anaenda chini hapo lazima wakupe demotion! Lakini hakikisha uko peke yako ili kusiwe na ushahidi. Akipeleka kesi mbele utamshinda maana amekukuta ofisini kwako!
Nilijua mwiko...kumbe ni panga!!
Mkuu pole.I can imagine usumbufu na stress unayopata,kwa kuwa Mimi pia nilikuwa mkuu wa kituo cha kazi kama wewe.Mbaya zaidi mkuu wangu wa kazi wa wilaya alitaka kunihamishia vijijini ambako,kwa hesabu za haraka nisingekuwa shughuli za ziada za kuingiza kipato.Pia afya yangu huko ingedorora zaidi kwa kuwa ingenibidi kusafiri umbali mrefu kufata matibabu.Jamani me nafanya kazi kama mkuu wa kituo katika kituo flani cha serikali hapa Tanzania.
Nimefanya kazi kwa weledi mkubwa sana bila kuwa na tatizo hapa kituoni kwangu. Nimejaribu kumwomba mwajiri wangu ambaye ni DED anipumzishe kutoka mkuu wa kituo na kuendelea na majukumu yangu ya fani niliyosomea amekataa pamoja na barua nilizomwandikia.
Jambo hili imefikia hivi bcoz kila wakati tunahudhuria vikao mbalimbali vya serikali bila malipo unaambiwa kuwa utumie fedha za ruzuku, shangaa ruzuku unapewa kila robo ya mwaka ambaye ni sh 46000 tu.
Kwenye hiyo hela kuna matumizi ya ofisi karatasi na kadhalika.... hadi inafikia kutumia mshahara wangu kwa kazi za ofisi sasa kwa jambo hili naomba ushauri wenu nitapataje demotion ili nirudi katika kazi yangu ya kawaida?