Ndio maana akaja hapa sasa Mkuu.Mkuu, kila mwanadam mwenye kili timamu anayo shaku.
Lakini shauku haijawahi kifanikiwa pasipo mipango.
Kwakuwa anayo shauku, hapa alitakiwa atuletee mpango wake na kisha tumshauri.ndio maana akaja hapa sasa Mkuu.
Mimi ni mtumishi wa Umma wa kawaida. Ndoto yangu ni kumiliki shell kituo cha kuuza mafuta eneo ninalokaa unitaji wa mafuta nimkubwa na sheli ni moja na kuna wakati anaishiwa mafuta hata kwa week 2 watu wanakosa huduma MIE SINA Mtaji ila natamani nikope hata kwenye mbenk ya uwekezaji nifungusheli huku kijin wateja ila namna ya kupata mtaji, kupata msaada wa andiko.
NIFANYEJE KUPATA MTAJI NA UTARATIBU MPAKA NIWE NA SHELI
Unalo eneo la ardhi ambamo shelio hio itawekwa?Mimi ni mtumishi wa Umma wa kawaida. Ndoto yangu ni kumiliki shell kituo cha kuuza mafuta eneo ninalokaa unitaji wa mafuta nimkubwa na sheli ni moja na kuna wakati anaishiwa mafuta hata kwa week 2 watu wanakosa huduma MIE SINA Mtaji ila natamani nikope hata kwenye mbenk ya uwekezaji nifungusheli huku kijin wateja ila namna ya kupata mtaji, kupata msaada wa andiko.
NIFANYEJE KUPATA MTAJI NA UTARATIBU MPAKA NIWE NA SHELI
Wazo ni mtaji...tafuta matajiri uza wazo mshirikiane..Mimi ni mtumishi wa Umma wa kawaida. Ndoto yangu ni kumiliki shell kituo cha kuuza mafuta eneo ninalokaa unitaji wa mafuta nimkubwa na sheli ni moja na kuna wakati anaishiwa mafuta hata kwa week 2 watu wanakosa huduma MIE SINA Mtaji ila natamani nikope hata kwenye mbenk ya uwekezaji nifungusheli huku kijin wateja ila namna ya kupata mtaji, kupata msaada wa andiko.
NIFANYEJE KUPATA MTAJI NA UTARATIBU MPAKA NIWE NA SHELI
Hiyo bongo haifunction....anapokwa huku anajiona!Wazo ni mtaji...tafuta matajiri uza wazo mshirikiane..
This is illegal, labda awe na mobile..and km mtaji tu majanga ni shida. .... namshauri hivi....Anzia tu kuuza hayo mafuta hata kwenye vidumu ili kupunguza hilo tatizo la uhaba wa mafuta kwenye hilo eneo unaloishi. Ila kuwaza kuanzisha kituo cha mafuta halafu mfukoni huna hata MIA! ni kujiongezea tu msongo wa mawazo.
Ungekua walau hata una milioni 200 hivi wadau wangekupa msaada wa nini cha kufanya. Sidhani kama kuna benki itakayokupa hela ili ukaanzishie biashara! Kwa maelezo zaidi wewe nenda kwenye ofisi za Sumatra au tafuta humu humu jukwaani. Kuna nyuzi za watu huko nyuma waliuliza swali hili hili na kujibiwa vizuri tu.
Mimi ni mtumishi wa Umma wa kawaida. Ndoto yangu ni kumiliki shell kituo cha kuuza mafuta eneo ninalokaa unitaji wa mafuta nimkubwa na sheli ni moja na kuna wakati anaishiwa mafuta hata kwa week 2 watu wanakosa huduma MIE SINA Mtaji ila natamani nikope hata kwenye mbenk ya uwekezaji nifungusheli huku kijin wateja ila namna ya kupata mtaji, kupata msaada wa andiko.
NIFANYEJE KUPATA MTAJI NA UTARATIBU MPAKA NIWE NA SHELI
Mimi ni mtumishi wa Umma wa kawaida. Ndoto yangu ni kumiliki shell kituo cha kuuza mafuta eneo ninalokaa unitaji wa mafuta nimkubwa na sheli ni moja na kuna wakati anaishiwa mafuta hata kwa week 2 watu wanakosa huduma MIE SINA Mtaji ila natamani nikope hata kwenye mbenk ya uwekezaji nifungusheli huku kijin wateja ila namna ya kupata mtaji, kupata msaada wa andiko.
NIFANYEJE KUPATA MTAJI NA UTARATIBU MPAKA NIWE NA SHELI
Kwa hiyo unataka kumiliki SHELL? Hiyo ni kampuni ya Waholanzi mkuu... Cheki nao uone km unaweza nunua hata shares tu...
Alikudanganya hizo pump hazina hiyo gharamaWazoo la kumiliki mobile car ya kuzambaza ndio zuri
Kuna jamaa angu amefungua huko kwao umasaini huko alinimbia pumpu tu hyo pekee ake Ni milioni 20 mpk na tano HV
I'll Happ kigamboni maeneo ya dege na kichangani Kuna Shelli moja pale jamaa ameshindwa kui run na kuiza Shelli yake
Ww zinazid hiyo gaharama pampu quality huanzia hiyo gharama Tena 2 product 4 nozzle yaan pampu ya mota mbili mikono minneAlikudanganya hizo pump hazina hiyo gharama