Mimi ni mtumishi wa Umma wa kawaida. Ndoto yangu ni kumiliki shell kituo cha kuuza mafuta eneo ninalokaa mtaji wa mafuta ni mkubwa na sheli ni moja na kuna wakati anaishiwa mafuta hata kwa week 2 watu wanakosa huduma.
MIE SINA Mtaji ila natamani nikope hata kwenye mabenk ya uwekezaji nifungue sheli huku kijin wateja ila namna ya kupata mtaji, kupata msaada wa andiko.
NIFANYEJE KUPATA MTAJI NA UTARATIBU MPAKA NIWE NA SHELI
MIE SINA Mtaji ila natamani nikope hata kwenye mabenk ya uwekezaji nifungue sheli huku kijin wateja ila namna ya kupata mtaji, kupata msaada wa andiko.
NIFANYEJE KUPATA MTAJI NA UTARATIBU MPAKA NIWE NA SHELI