samrich234
Member
- Nov 7, 2022
- 42
- 20
Nina iPhone 11 Pro wakuu, nahitaji nitumie Apps za Android, nifanyeje? Mwenye uelewa tafadhari!
Nina simu mbil sasa nijikoshe ili iweje mzeeKwani hiyo Redmi yako hainauwezi wa ku install hizo app. Acha kujikosha eti iphone 11 yangu. Kumbe huna
Hizi account mpya hizi
Gb whatsapp, Facebook lite na instagram lite .App gani unataka unashindwa kuipata Appstore?
Zote zipo ingia Appstore kadownloadGb whatsapp, Facebook lite na instagram lite .
naomba masaada wako chief nawez nikazipataj hizo app kwenye iPhone
😁😁😁 App store hizo , app hakun hz app unawez kuzipata play store tu na google store kwa simu za android lakin kwa simu za ois hakum hizo app ma wala hazisupportZote zipo ingia Appstore kadownload
Whatsapp ipo Facebook na instagram kwann utumie hizi ikiwa umeamua kutumia iPhone?😁😁😁 App store hizo , app hakun hz app unawez kuzipata play store tu na google store kwa simu za android lakin kwa simu za ois hakum hizo app ma wala hazisupp
Boss app yoyte ambayo ni lite maana yake ni ndogo na uraji wake wa mb ni mdogo tofauti na zile app premium.Whatsapp ipo Facebook na instagram kwann utumie hizi ikiwa umeamua kutumia iPhone?
Gb whatsapp, Facebook lite na instagram lite .
naomba masaada wako chief nawez nikazipataj hizo app kwenye iPhone
Zote zipo ingia Appstore kadownload
Sijajua kwanini unataka GB WhatsApp, lakini uhitaji wako wa Facebook na Instagram Lite ni kwa ajiri ya kupunguza storage na data usageGb whatsapp, Facebook lite na instagram lite .
naomba masaada wako chief nawez nikazipataj hizo app kwenye iPhone
natak gn WhatsApp coz citak usumbuf kwa raia..Sijajua kwanini unataka GB WhatsApp, lakini uhitaji wako wa Facebook na Instagram Lite ni kwa ajiri ya kupunguza storage na data usage
Oh come on, unamiliki Iphone bro
Bundle halitakiwi kuwa shida
Tumia official apps