Mrdeom
New Member
- Nov 22, 2020
- 2
- 1
Salaam wanajukwaa , naitwa omary mkazi wa iringa, ninaweza kuandika mambo yanayohusu fasihi(ushairi, riwaya,tamthiliya na hadithi fupi), sijawahi kufanikiwa kuandika kitabu lakini naishia kuandika tu kwenye madaftari, Ila ndoto yangu nije kuandika vitabu vingi sna na visomwe na watu ,Sasa naomba mnipe ushauri ,vilevile nahitaji support pia kwa walioweza kuandika vitabu walifanyaje, wasalam