Nifanyeje ili JKT wajue nimesoma?

Nifanyeje ili JKT wajue nimesoma?

Haah!!
Tusimdanganye huyu ndugu kule hawana masihala kabisa nilibebana na vyeti vyangu mwaka flani kwenda kwenye mafunzo JKT ni kabeba mpaka cheti cha ubatizo cha kushangaza nilikaguliwa mm badala ya vyeti uchura matusi masimango anyway aende navyo Tu mm simo
Ilikuwa ukimaliza miezi sita ya ukuruta unaweza kutumia katika taaluma yako.
 
Yaah!
Ila fani yenyewe haikuwa rohoni kabisa kulazana misituni kama wanyama wakati home nimeacha godoro safi kabisa LA superbanco
[emoji16] [emoji16] Acha tu mkuu kufoleni na vitanda uwanja wa damu/doso ground ..ila mkuu unaoneka ulikua unapiga sana vijogoo
 
[emoji16] [emoji16] Acha tu mkuu kufoleni na vitanda uwanja wa damu/doso ground ..ila mkuu unaoneka ulikua unapiga sana vijogoo
Hhahhaaaaaa !!
Nilikuwa na mshikaji wangu alikuwa hatali sana vijogoo vimepangana kwenye deka angani wote wanagongea kwetu yaani yule mshikaj alikuwa ni double earner vibaya sana

Mm nilikuwa nadoji Tu naenda kununua karanga uraiani mkuu
 
Ingia na vyeti vyako vya elimu (academic certificates) maana jkt hata darasa la saba wanachukuliwa, ukishamaliza kozi utapewa mkataba na kuwa serviceman/woman hapo zikija ajira kutoka jwtz, magereza, polisi, tanapa, migration n.k ndio kutakuwa na umuhimu wa vyeti vyako vya professional ili vikubebe kwenye ajira.
 
Hhahhaaaaaa !!
Nilikuwa na mshikaji wangu alikuwa hatali sana vijogoo vimepangana kwenye deka angani wote wanagongea kwetu yaani yule mshikaj alikuwa ni double earner vibaya sana

Mm nilikuwa nadoji Tu naenda kununua karanga uraiani mkuu
[emoji16] [emoji16] [emoji16] mkuu alikua Buster
 
Fika anza kuwaongelesha kingereza maafande [emoji4] kwanini wasikujue umesoma!
 
Fika anza kuwaongelesha kingereza maafande [emoji4] kwanini wasikujue umesoma!
Aisee acha kabisa kuwasha moto !hapo unataka waue huyu MTU acha kabisa watabimiza mbaya kimombo kule adhabu yake ni mahabusu mpaka kozi inaisha
 
Back
Top Bottom