Wasamehe bure mkuu............wengine wameenda vyuoni "kukua"..........na wengine kusoma,
Si unaona hata mada zao mkuu?Tusaidiane kuwalea hao...........wanaokulia vyuoni kupitia JF.
Wamesikia tetesi kuwa JF kuna Great Thinkers..................ndio mana wanakimbilia hapa.