cutie bee
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 206
- 69
Hilo la kupenda ndio uliloendea huko Dodoma eeh?
hahaha...yani ulivyoongea km mama mtu vile anamchamba kijana kuendekeza papuchi...pga buku dogo mapenz yapo tu
Hilo la kupenda ndio uliloendea huko Dodoma eeh?
Atakuwa ana kakipaji ka cha shigongo teh teh teh teh i went there when i was 19 but i left without fuc.kin.g anyone coz mademu wa chuo ni pasua kichwa kishenzi ka vile fuel guzzlersKweli elimu Tanzania hovyo kabisa, mwanafunzi aliyehitimu elimu ya secondary na kuchaguliwa chuo kikuu (chuo kikubwa) lakini unaandika utumbo wa namna hii?
Huwezi hata kupangilia riwaya yako? ulitakiwa kuandika point muhimu tu na watu wangekuelewa.
Paragraph ys pili, natamani nikutumie kapo vocha ukanunue kifurushi,pokea LIKE!
Dah!umenigusa maeneo yangu,kwanza kabisa nikukosoe kuwa hii sio riwaya bora ungesema tamthiliya mana riwaya ni hadithi ndefu na kuna aina mbali mbali kama riwaya pendwa za wasifu na nyinginezo.Pia katika lugha ya maandishi kuna maandishi ya kifasihi yanayozingatia vipengele vya lugha na maandishi yasiyo ya kifasihi yasiyo zingatia kanuni za kifasihi.Nimetumia maandishi yasiyo ya kifasihi kwani katika matumizi ya lugha inabidi uzingatie uhusiano wa wahusika na kiwango cha elimu na humu jamvini kuna watu mbali mbali.Kaka necta hawakukosea kunipa A ya kiswahili ndio mana shule waliniita swahili state mwisho nikukaribishe kwenye jukwaa la lugha yetu adhimu ya kiswahili.Kweli elimu Tanzania hovyo kabisa, mwanafunzi aliyehitimu elimu ya secondary na kuchaguliwa chuo kikuu (chuo kikubwa) lakini unaandika utumbo wa namna hii?
Huwezi hata kupangilia riwaya yako? ulitakiwa kuandika point muhimu tu na watu wangekuelewa.
Umeona eeh!!!hahaha...yani ulivyoongea km mama mtu vile anamchamba kijana kuendekeza papuchi...pga buku dogo mapenz yapo tu
Kwaiyo akiendelea kusema ana mtu nimwambieje
mwambie umeanza kumpigia punyeto........ngamia wewe....fuata kilichokupeleka huko kwenye chuo kikibwa tanzania!!!
mwambie umeanza kumpigia punyeto........ngamia wewe....fuata kilichokupeleka huko kwenye chuo kikibwa tanzania!!!
Nilichogundua wewe handsome
Na unasoma udom
Anakupenda ila anampenz daaaa! iyo ni noma mbona uyo tayali mpenz wako si naye anakupenda.