Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,480
- 45,792
Sehemu gani ulikuwa Alabama kubwa kuna:Nili kuwa alabama
Mkeo ana experience na relationship wewe huna .Experience muhimu.Wako akiwa kwako akitoka nje si wako .Watu Wanakula beef walahi hana hofu.Huyo mkeo ni M star Mzoefu .Watu wanakula beef walahi hana hofu .
Dawa yanina sio maji.
Mwoe jirani au mdogo wake au hata rafiki yake.
Lazima atajinyonga.
Huwa sitakagi ujinga mie
Chezea USA wewe!
Au usa river ya Arusha unaizungumzia?
Kaa kimya usitumie nguvu kumfanya arudi hata kama unaumia. Endelea na mambo yako...Kama ni wako ararudi tu.Nili muaga na nimesha rudi TZ kwasasa nili kuwa nime enda kwenye wedding ya ndugu yangu.
Wewe umefunga pm.Ngoja wataalamu waje kukupa muongozo zaidi.
Nyie wahaya vipi? Mnaongea kilugha mnatuteta
Sijawahi kutumia hiyo pm na wala sijui kama hua inafungwa.Wewe umefunga pm.
Mkuu ukishajua kua Alabama alikua sehemu gani hasa ndio itakusaidia wewe katika kumshauri kwenye hilo jambo lake?Sehemu gani ulikuwa Alabama kubwa kuna:
Madison.
Mountain Brook.
Homewood.
Vestavia Hills.
Fairhope.
Pike Road.
Daphne.
Orange Beach.
Acha kusema unampenda sana! Hiyo ni kauli ya kinyonge sana ukiitamka mwanaume, mtu anakuletea jeuri kiasi hicho bado unakuja kulialia hapa eti " bado nampenda sana"Mimi ni kijana mwenzio. Nimeoa ila kwa sasa ndoa yangu aipo tena, yaani sipo tena na mke wangu.
Sasa tatizo lilikuja vipi
Mimi nili safiri kwenda zangu USA ndugu zangu wali nifanyia visit invitation nikamuacha mke wangu Dar es Salaam.
Sasa nilivyokuwa kule nikawa naongea naye kama kawaida tu Ila kulifikia kipindi akawa ananijibu mambo ya ovyo ovyo. Nikitaka kumfokea mara ananiambia amenichoka sujui nini.
Kiburi kilipanda mtoto wa kike akafikia hatua ya kuniambia nimekukataa ili nikuonyeshe kama Marekani sio kitu mbele yangu. Yaani maneno ya kujiamini saaana.
Mpaka akafikia hatua ya kuniacha ila mke wangu bado nampenda saana. Ninajaribu kumwambia nini tatizo ananiambia hataki tu na siku hizi, she doesn’t call me tena mume wangu ni Jina langu tu.
Sasa jamani nisaidieni nifanye nini ili mke wangu arudi maana nimejaribu kula wanawake wengine lakini naona mmmm ni bure kweli yaani ameniganda kweli kweli
Unatia hasira sana tatizo mnajitwika mizito ingali bado hamjakomaa, we bado mvulana ukiwa mwanaume utaacha tu kulilia mbunye inayokukataa.Sasa apo kwenye kumuacha ndo na jikuta siwezi kabisa
Yaani na jaribu kujifosi kumsau mpaka nime tongoza rafiki yake ime shindikana yaani
Yaani sijuwi ni tumie jia gani
Inasaidia nini kuhusu tatizo lake?Sehemu gani ulikuwa Alabama kubwa kuna:
Madison.
Mountain Brook.
Homewood.
Vestavia Hills.
Fairhope.
Pike Road.
Daphne.
Orange Beach.
Utaelewa baadae we tulia anipe majibu, nimekaa huko nakujua kimk.undu mk.unduInasaidia nini kuhusu tatizo lake?