Nifanye nini kupata ukimbizi wa kisiasa katika nchi hizi?

Usikimbie mkuu, watu wanaoishi maisha ya aina yako tuko wengi.

Muda unaotumia kutafuta uhamie wapi bila kuwa na uhakika wa kupata au kukosa heri uendelee kupambana ndani ya nchi yetu

Hawa mabwana kuna wakati ukifikiria sana unaona hata huu mfumo wa elimu ya kukariri bila vitendo waliotuletea na kutushurtisha kuufata ulikua mpango wa kutuchelewesha kujitafuta sisi na rasilimali zetu.

Na matokeo yake tunayaona maisha magumu baada ya kumalizia miaka karibu 20 shuleni bila kuwa na chochote mfukoni, na kibaya zaidi bado tunawaona wao ndio kimbilio letu na suluhu katika ugumu wa maisha bila kuona vile wenyewe wanavyokimbilia rasilimali zetu zenye thamani zaidi ya hayo makaratasi yao kwa sababu tunashindwa kuzitumia

Wacha twende na John Pombe Magufuli yeye anatuwazia mema sana kuliko tunavyodhani

Cc magu2016 kuna ndugu anataka kuhama nchi huku...
We jamaa umeongea point japo utapingwa sana
 
Wakuu kwema?

Kwanza naomba niseme kuwa Mimi ni Mzalendo wa nchi yangu lakini pia ni kijana ambaye ni mchakarikaji wa kila kazi halali.

Ingawa ni mhitimu wa shahada ya kwanza ajabu ni kuwa huu ni mwaka wa tatu sina kazi rasmi zaidi ya kupangaiza tu kwenye vibarua kama vya ujenzi, uvuvi, kilimo na kila kazi iliyo halali, lakini bado sioni mwanga wa kuyaweza maisha na kuishi katika ndoto zangu.

Imefika pahala nikakumbuka hata Mungu alivyotuumba wanadamu hatupangia sehemu moja tu ya kuishi kwamba kwavile mimi nimezaliwa Kigoma ni lazima niishi na kufia Kigoma na sasa nimekuwa nikitafuta kila namna ya kutoka nchi hii nikajaribu na kwingine na nchi zilizo katika ndoto zangu ni Ulaya, Canada na Marekani.

Nimekuwa nikisoma na kuufatilia Nimeona siyo rahisi kuhamia nchi hizi kwa urahisi kwani wana masharti magumu sana hasa kwa watu masikini, lakini nimekaa na kuwaza siwezi kupata Viza kama mkimbizi wa kisiasa hasa kwa wakati kama huu ambapo dunia inajua Tanzania kuna kila aina ya ukandamizaji wa wanasiasa wa upinzani?

Je, nifanyeje na nijiandaeje ili niende kwenye Moja ya balozi hizi kama mkimbizi wa kisiasa?

Naombeni msaada wa mawazo maana naamini hakuna kisichowezekana na isitoshe mimi sitokuwa wa kwanza kufanya hivi.

Karibumi kwenye mjadala na mwenye kejeli ongeeni sana lakini kiukweli wasomi nchi hii hatuna maana tena kwani maisha mazuri tunayasikia tu kwa mwenye mamlaka.
Mie mwaka wa tano sasa nasota kitaa utanambia na mm ukipata mjuzi
 
Duuuuh...

....human trafficking hiyoooo!!
Upo kigoma?
Kama ndio
Njia kwanza.
1.Nenda pale maweni Zamani paliitwa TcRC/wanapojaza form za kuapishwa uraia ILI upate kadi ya Nida,kwa juu mle ndani kuna ofisi ya unhcr wanasajili wakimbizi wanaoingia nchini unapewa kitambulisho cha ukimbizi unapelekwa kambini kule kambini mnasajiliwa kwenda ulaya na marekani ila inachukua muda ukihonga hela kidogo unaweka katika list ya watakao ondoka haraka...ila kujieleza hadi ueleweke ni kazi kweli kweli ila kwa wakongo na warundi ni rahisi kuchukuliwa kambini,ila maisha ya kambini ni magumu sana kwa sasa tofauti na zamani na uraia Wa TZ unaukana.

Njia ya 2
Unaenda Kongo kwa njia za wizi unaenda Miji mikubwa kama Lubumbashi au Kinshasa,hiyo miji IPO mbali kufika kutokea kigoma unaweza tumia mwezi...maana ndani ya Kongo barabara za lami hakuna zilizounganisha nchi kama Tanzania,sasa ukifika huko unaungana na wakongo wanaoenda marekani na kanada kwa kupitia brazil-mexico-usA-canada kwa kusafirishwa wasafirisha binadamu
 
😂😂😂
Njia rahisi ni tafuta bwana, nenda nae ubalozi wa hizo nchi waambie wewe ni shoga na unataka kufunga ndoa na huyo bwana wako ila serikali inakutafuta ikufunge.
Hapo unapata fasta ila ni lazima uwe shoga kweli. Hivyo uanze kwanza kuwa shoga kabla ya kwenda
😂😂😂😂😂😂
 
Wakuu kwema?

Kwanza naomba niseme kuwa Mimi ni Mzalendo wa nchi yangu lakini pia ni kijana ambaye ni mchakarikaji wa kila kazi halali.

Ingawa ni mhitimu wa shahada ya kwanza ajabu ni kuwa huu ni mwaka wa tatu sina kazi rasmi zaidi ya kupangaiza tu kwenye vibarua kama vya ujenzi, uvuvi, kilimo na kila kazi iliyo halali, lakini bado sioni mwanga wa kuyaweza maisha na kuishi katika ndoto zangu.

Imefika pahala nikakumbuka hata Mungu alivyotuumba wanadamu hatupangia sehemu moja tu ya kuishi kwamba kwavile mimi nimezaliwa Kigoma ni lazima niishi na kufia Kigoma na sasa nimekuwa nikitafuta kila namna ya kutoka nchi hii nikajaribu na kwingine na nchi zilizo katika ndoto zangu ni Ulaya, Canada na Marekani.

Nimekuwa nikisoma na kuufatilia Nimeona siyo rahisi kuhamia nchi hizi kwa urahisi kwani wana masharti magumu sana hasa kwa watu masikini, lakini nimekaa na kuwaza siwezi kupata Viza kama mkimbizi wa kisiasa hasa kwa wakati kama huu ambapo dunia inajua Tanzania kuna kila aina ya ukandamizaji wa wanasiasa wa upinzani?

Je, nifanyeje na nijiandaeje ili niende kwenye Moja ya balozi hizi kama mkimbizi wa kisiasa?

Naombeni msaada wa mawazo maana naamini hakuna kisichowezekana na isitoshe mimi sitokuwa wa kwanza kufanya hivi.

Karibumi kwenye mjadala na mwenye kejeli ongeeni sana lakini kiukweli wasomi nchi hii hatuna maana tena kwani maisha mazuri tunayasikia tu kwa mwenye mamlaka.
Mzingue jiwe
 
Nenda magogoni ukakate gogo kwenye mlango wa ikulu then utatupa mrejesho umeenda nchi gani.
 
cha kumpasulia mwenzako nyaaa! nini? unadhani ushoga ni jambo la kispot sport tu? kupasuliwa nyaa! unadhani ni jambo dogo au unasikia tu wale mashoga wazoefu tangu wakiwa wadogo walifanyaga mazoezi!

sasa jifanye shoga km hujalilia ubalozini make balozi atataka kuonja aone
 
Back
Top Bottom