kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,421
Wasalaaam wakuu
Naombeni mnisaidie nifanye nini ili niweze kunywa pombee maana nimeshindwa kabisa
yaani hata zile MALTA zenye harufu ya pombe huwaa sitaki hata kuziona
Naweza kuwatoa watu outing lakini mimi nikaishia kunywa soda au maji
mpaka wanahisigi naishi kwa mashart ya BIBI KHADIJA
Naombeni kujua kama hili ni tatizo na nifanyaje ili niweze kunywa kama kina MASELE wa mizengwe
Naomba kuwasilisha, matusi hayaruhusiwi maana ni wakati wa KUTUBU
Naombeni mnisaidie nifanye nini ili niweze kunywa pombee maana nimeshindwa kabisa
yaani hata zile MALTA zenye harufu ya pombe huwaa sitaki hata kuziona
Naweza kuwatoa watu outing lakini mimi nikaishia kunywa soda au maji
mpaka wanahisigi naishi kwa mashart ya BIBI KHADIJA
Naombeni kujua kama hili ni tatizo na nifanyaje ili niweze kunywa kama kina MASELE wa mizengwe
Naomba kuwasilisha, matusi hayaruhusiwi maana ni wakati wa KUTUBU