Muite Ndugai dhaifu.Nimekuwa na interest ya kuona kamati hii inayotikisa nchi ikoje na inafanya je kazi zake.
Naamini kama pasco aliwahi kuitwa kama raia, basi na mimi nitaweza pia...!
Itisha press conference hata iwe ya kizushi kama za Musiba, rusha kwenye YouTube watakutafuta...libagaze bunge kwenye hiyo press conference.Nimekuwa na interest ya kuona kamati hii inayotikisa nchi ikoje na inafanya je kazi zake.
Naamini kama pasco aliwahi kuitwa kama raia, basi na mimi nitaweza pia...!
Kwani umelazimishwa kusoma commentsStori za kijiwe bangi...mjue mvua zimegoma chakula kitapanda bei!! Diskasini uzuzu tuu
Weka id yako kamili na ujulikane mpaka serikalini alafu uandike cha kukosoa bunge au serikali ya awamu ya 5 hiiNimekuwa na interest ya kuona kamati hii inayotikisa nchi ikoje na inafanya je kazi zake.
Naamini kama pasco aliwahi kuitwa kama raia, basi na mimi nitaweza pia...!
Kwenye nyota nyota isomeke dungwayTengeneza bango liandike "****** AME POO KWENYE BOKSA"
Fasta mwanangu.
Andika hv Baba wa taifa ni Baba Taifa tu Ndio maana mwalim Nyerere alijenga kiwanda cha mkonge Tanga sababu mkonge unalimwa kwa wingi Tanga hlf akajenga hospital ya MILEMBE Dodoma Sababu ya ?Nimekuwa na interest ya kuona kamati hii inayotikisa nchi ikoje na inafanya je kazi zake.
Naamini kama pasco aliwahi kuitwa kama raia, basi na mimi nitaweza pia...!
Muunge mkono CAG kwa kuitisha PRESSNimekuwa na interest ya kuona kamati hii inayotikisa nchi ikoje na inafanya je kazi zake.
Naamini kama pasco aliwahi kuitwa kama raia, basi na mimi nitaweza pia...!
Andika hv Baba wa taifa ni Baba Taifa tu Ndio maana mwalim Nyerere alijenga kiwanda cha mkonge Tanga sababu mkonge unalimwa kwa wingi Tanga hlf akajenga hospital ya MILEMBE Dodoma Sababu ya ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah ah ah ah aseeeAndika hv Baba wa taifa ni Baba Taifa tu Ndio maana mwalim Nyerere alijenga kiwanda cha mkonge Tanga sababu mkonge unalimwa kwa wingi Tanga hlf akajenga hospital ya MILEMBE Dodoma Sababu ya ?
Sent using Jamii Forums mobile app