ABINALA Senior Member Sep 20, 2013 134 55 Mar 2, 2014 #1 Nina 29rs,sijawahi kungonoka,nasubiri siku ya honeymoon, sinapesa za mahari na harus,kisaikolojia naathirika nifanyaje?
Nina 29rs,sijawahi kungonoka,nasubiri siku ya honeymoon, sinapesa za mahari na harus,kisaikolojia naathirika nifanyaje?
said rashid JF-Expert Member Jul 11, 2011 203 110 Mar 2, 2014 #2 Arch. Moses said: TheMonthlyJob.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job Click to expand... Tutolee takataka yako pleaseee, kacheze unakochezaga!
Arch. Moses said: TheMonthlyJob.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job Click to expand... Tutolee takataka yako pleaseee, kacheze unakochezaga!
said rashid JF-Expert Member Jul 11, 2011 203 110 Mar 2, 2014 #3 ABINALA said: Nina 29rs,sijawahi kungonoka,nasubiri siku ya honeymoon, sinapesa za mahari na harus,kisaikolojia naathirika nifanyaje? Click to expand... Nahisi wewe ni mwanaume, imenibidi nipige kimya tu. Ila usingekuwa hivyo ningekushauri na kukusaidia mwenyewe...
ABINALA said: Nina 29rs,sijawahi kungonoka,nasubiri siku ya honeymoon, sinapesa za mahari na harus,kisaikolojia naathirika nifanyaje? Click to expand... Nahisi wewe ni mwanaume, imenibidi nipige kimya tu. Ila usingekuwa hivyo ningekushauri na kukusaidia mwenyewe...
Hornet JF-Expert Member Apr 29, 2013 26,117 49,469 Mar 2, 2014 #4 Namshukuru Allah amenirudishia akili yangu nilichotaka kucoment hapa sijuiii
D DIKE JF-Expert Member Feb 11, 2013 370 156 Mar 2, 2014 #5 Mke umemtafuta jf unataka na mali wakusaidie . Kama huna mweleze mpenzi wako awataarifu wazazi harusi si lazima sherehe .
Mke umemtafuta jf unataka na mali wakusaidie . Kama huna mweleze mpenzi wako awataarifu wazazi harusi si lazima sherehe .
angelita JF-Expert Member Jun 13, 2013 3,017 2,422 Mar 2, 2014 #6 Kwani wewe ni kilema kusema huwezi kujishughurisha???
charty JF-Expert Member Oct 28, 2013 7,460 5,975 Mar 2, 2014 #7 Hvi stress za kutokua na raman mbaya sana!
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,818 93,493 Mar 2, 2014 #8 Tafuta pesa ya mahari tu...harusi waachie wenye pesa zao
wiseboy JF-Expert Member Mar 22, 2011 2,931 3,299 Mar 2, 2014 #9 charty said: Hvi stress za kutokua na raman mbaya sana! Click to expand... ...kweli kaka, raman kchwan zikishavurugika halafu ukakata tamaa ya kudraw upya unapotea mazima, hii dhana ya kusema sitaweza tena dah inakuua.
charty said: Hvi stress za kutokua na raman mbaya sana! Click to expand... ...kweli kaka, raman kchwan zikishavurugika halafu ukakata tamaa ya kudraw upya unapotea mazima, hii dhana ya kusema sitaweza tena dah inakuua.