moreen baby
Senior Member
- Feb 20, 2014
- 127
- 23
habarini wana MMU
mimi ni msichana nilikuwa nina boyfriend wangu tumekaa miaka nane tukipendana sana na hata nikiwa mbali alikuwa akija nilipo kunisalimia na kunijulia hali hii hapa ni mara ya nne nakuwa mbali nae hakuna baya lolote na bado tunapendana tatizo linakuja
nimepata chuo sehemu fulani natakiwa nikasome boy wangu anataka anioe kwanza ndipo nisome mgogoro ukatokea but familia yangu ikinilazimu nikasome kwanza ikanibidi mimi niende chuo
baaada ya miezi mitatu kupita bwana wangu ananambia amepata mchumba mwingine na ameshatoa mahali na anaoa sikuona shida kwakuwa ameamua tumeishi tukiwasiliana kwa muda hatimaye ameoa kweli sasa tokea ameoa mimi namkumbuka saana na natamani kuwa nae kwa muda huu kufuta mawazo hayo nikampata bwana mwingine anajitahiodi sana kunisahaulisha nikiwa nae ila nikiwa mbali nae kidogo tu mawazo yanarudi kwa alieoa sasa nifanyaje nimefuta namba zake lakini kichwan bado ninazo siweki salio kwenye simu yangu ili nishindwe kumtafuta nikianza kumsahau tu tayari yeye ananipigia simu kunijulia hali nashindwa nifanyaje wa MMU ushauri wenu muhimu ....
mimi ni msichana nilikuwa nina boyfriend wangu tumekaa miaka nane tukipendana sana na hata nikiwa mbali alikuwa akija nilipo kunisalimia na kunijulia hali hii hapa ni mara ya nne nakuwa mbali nae hakuna baya lolote na bado tunapendana tatizo linakuja
nimepata chuo sehemu fulani natakiwa nikasome boy wangu anataka anioe kwanza ndipo nisome mgogoro ukatokea but familia yangu ikinilazimu nikasome kwanza ikanibidi mimi niende chuo
baaada ya miezi mitatu kupita bwana wangu ananambia amepata mchumba mwingine na ameshatoa mahali na anaoa sikuona shida kwakuwa ameamua tumeishi tukiwasiliana kwa muda hatimaye ameoa kweli sasa tokea ameoa mimi namkumbuka saana na natamani kuwa nae kwa muda huu kufuta mawazo hayo nikampata bwana mwingine anajitahiodi sana kunisahaulisha nikiwa nae ila nikiwa mbali nae kidogo tu mawazo yanarudi kwa alieoa sasa nifanyaje nimefuta namba zake lakini kichwan bado ninazo siweki salio kwenye simu yangu ili nishindwe kumtafuta nikianza kumsahau tu tayari yeye ananipigia simu kunijulia hali nashindwa nifanyaje wa MMU ushauri wenu muhimu ....