Nifanyaje ili niweze kuunganisha simu ya A akipigiwa nami nijue

i think

JF-Expert Member
Apr 20, 2014
361
72
Nina tatizo hlo nataka simu ya A ikipigiwa m niweze kujua pia na kupoke
 
Ni ku DIVERT... ila chunga sana unaweza ukapata ugonjwa wa moyo aisee..
 
Kwanza kabisa ni kosa kisheria!!! Lakini pili unatafuta magonjwa ya lazima.Hakuna ugonjwa mbaya km wivu uliopitiliza. Km una wasiwasi naye ni bora mkakaa na kuzungumza kuliko kudukua mawasiliano yake pasipo idhini yake.
 
kwenye simu.. phone setting >call setting>call divert/forwarding andika namba ya mamsap wako then utaona kitachotokea mkuu...

Sasa si itakua simu zangu ninazopigiwa zinaenda kwake?au niki divert za kwake zije kwangu ina maana asipopick simu mimi nitapokea ambaye sii mhusika hspo nakua sijasikia chochote.jee divert inaruhusu mtu wa kati kusikia bila wale wanaowasiliana kujua?
 
Back
Top Bottom