Nifanyaje ili niweze kumvutia mwanamke

Nifanyaje ili niweze kumvutia mwanamke

Kwa hiyo Dogo umeamua kuvuta et.
Subiri utakutana na fimbo za walimu wako, badala ya usome we unatafta madem? soma kwanza mademu wapo tu.
 
Ukute ni mwanafunzi na hana source of income pia pesa anazosemea kua nazo ni za wajomba,shangazi na mashemeji pale akitaka kurudi shule japo wakati mwingine zinaweza kua nyingi kutosha kuhonga mademu.Ushauri soma tu upate maarifa wakati mwingine kisomo kinaweza kukupa utulivu fulani ambao asilimia kubwa ya wanawake huupenda sana.
 
Kwa miaka 19 obviously utakuwa bado unanuka jasho la balehe,haircut yako itakuwa ni ya kihuni yaani kwa ujumla utakuwa mchafu
 
kama bado unasoma o level na miaka yako usitongoze wa shule nenda kwa mamdogo zako wa mitaani.
 
Back
Top Bottom