Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
Habari zenu wakuu,
Napenda kujitokeza mbele yenu kuomba ushauri kwa ili suala nalollpitia kwa sasa japokuwa inaweza kuonekana jambo la kawaida kwa wadau wengine hapa ndani.
Kwa ufupi nimetokea kupendana na binti mmoja msukuma mwenyeji wa wilaya ya Sengerema kiukweli ni binti mpole, mkarimu na mwenye kujali na amenionyesha mapenzi ya kweli sikatai hasa hasa kipindi nilikua vibaya kiuchumi.
Alinipa msaada mkubwa sana, kama mwanaume nimekua nikimwaidi mambo mbalimbali nikijua leo ni tofauti na kesho katika kutoa ahadi zangu yaliyofanikiwa ni machache sana na amekua hapendezwi na hii hali imefikia kipindi ule ukarimu wake umeanza kupotea kutokana na kuniita majina mbalimbali kama vile msanii, mwanasiasa, maneno mengi.
Kiukweli hali hii ya kutoa ahadi zisizo na vitendo zimenifanya nipoteze hamu ya mapenzi kwake pia najihisi kama mkosefu
maisha yamebadilika kwa upande wangu naitajikujiendeleza kimasomo na mdogo wangu pia aneanza a-level mwezi unaokuja pia familia ya nyumbani inanitegemea.
Hivyo basi nimepiga tathimini kuja kupata mafanikio yanayoeleweka itanichukua miaka kama mitano na kwa ulimwengu wa sasa sidhani kama atakua upande wangu dhamira yangu hapa ni kuomba ushauri wa kumfanya tutengane kwa amani bila yeye kuumia na itakua vizuri kama yeye ndo itakua chanzo ili afaidi ulimwengu kwa sasa mimi sina maisha.
Asanteni
Napenda kujitokeza mbele yenu kuomba ushauri kwa ili suala nalollpitia kwa sasa japokuwa inaweza kuonekana jambo la kawaida kwa wadau wengine hapa ndani.
Kwa ufupi nimetokea kupendana na binti mmoja msukuma mwenyeji wa wilaya ya Sengerema kiukweli ni binti mpole, mkarimu na mwenye kujali na amenionyesha mapenzi ya kweli sikatai hasa hasa kipindi nilikua vibaya kiuchumi.
Alinipa msaada mkubwa sana, kama mwanaume nimekua nikimwaidi mambo mbalimbali nikijua leo ni tofauti na kesho katika kutoa ahadi zangu yaliyofanikiwa ni machache sana na amekua hapendezwi na hii hali imefikia kipindi ule ukarimu wake umeanza kupotea kutokana na kuniita majina mbalimbali kama vile msanii, mwanasiasa, maneno mengi.
Kiukweli hali hii ya kutoa ahadi zisizo na vitendo zimenifanya nipoteze hamu ya mapenzi kwake pia najihisi kama mkosefu
maisha yamebadilika kwa upande wangu naitajikujiendeleza kimasomo na mdogo wangu pia aneanza a-level mwezi unaokuja pia familia ya nyumbani inanitegemea.
Hivyo basi nimepiga tathimini kuja kupata mafanikio yanayoeleweka itanichukua miaka kama mitano na kwa ulimwengu wa sasa sidhani kama atakua upande wangu dhamira yangu hapa ni kuomba ushauri wa kumfanya tutengane kwa amani bila yeye kuumia na itakua vizuri kama yeye ndo itakua chanzo ili afaidi ulimwengu kwa sasa mimi sina maisha.
Asanteni