Habari,
Jamani mwenzenu naomba kujuzwa nifanyeje ili ninapo pika mchuzi uwe mzito, na kuwa wa rangi iliyokooza, inakaribia black. msaada please
Jamani mwenzenu naomba kujuzwa nifanyeje ili ninapo pika mchuzi uwe mzito, na kuwa wa rangi iliyokooza, inakaribia black. msaada please
Unataka uzito wa kiasi gani?
Anyway weka karai lenye mafuta, kaanga vitunguu km unavyofanya kwa chips. Zikiwa golden brown zitowe weka pembeni kuchuja mafuta, yasiwe kidogo sana.
Kwenye blender weka tungule na tomato paste kiasi unachotaka saga. Kaanga mchuzi km kawsida utaweka na hivo vitu hapo, hivi viwili vikifanyika utapata mchuzi mzito na uliokoza.
kwa ladha zaidi usiache kuweka kotmiri.