Niende ninakopendwa ama ninakopenda!

Niende ninakopendwa ama ninakopenda!

Unauliza mavi ya mbuzi nani kanya tusemaje sasa?[ Tumia hata tafsida kidogo ndugu. Hujui hili jukwaa kila rika linachungulia? Ni vema na busara ukaficha Upumbavu japo mara moja kwa mwezi!
 
Mwanamke ni bora akupende kuliko wewe kumpenda.
Changa karata, jiongeze acha kuwa unagegeda gegeda bila mpango then unakuja kuuliza utumbo wako jamvini. Kama hizi ndo type za kuoa, wadada kuweni makini sana.
 
Mwanamke ni bora akupende kuliko wewe kumpenda. Changa karata, jiongeze acha kuwa unagegeda gegeda bila mpango then unakuja kuuliza utumbo wako jamvini. Kama hizi ndo type za kuoa, wadada kuweni makini sana.[ nia yangu si kugegeda msichana then nimuche ndugu
 
Wanajamvi hebu tiririkeni maana sijui nichukue uamuzi gan. Kwa kifupi kuna wadada nina uhusiano nao wa karibu. Sasa mmoja kati ya ananipenda zaidi ya kupenda. Hata hivyo huyu sina mpango naye japokuwa ananipenda. Huyu ninayempenda anaonekana kupenda vitu vya hali ya juu na sifa asizokuwa nazo. Sasa hapa sijui niende kule ninakopendwa ama nilikopenda?

Nenda unakopendwa, huku unakopenda fanya 'mpango wa kando'
 
Kusudio langu si kuwagegeda. Bali kuamua moja ni yupi kati yao?
 
Wanajamvi hebu tiririkeni maana sijui nichukue uamuzi gan. Kwa kifupi kuna wadada nina uhusiano nao wa karibu. Sasa mmoja kati ya ananipenda zaidi ya kupenda. Hata hivyo huyu sina mpango naye japokuwa ananipenda. Huyu ninayempenda anaonekana kupenda vitu vya hali ya juu na sifa asizokuwa nazo. Sasa hapa sijui niende kule ninakopendwa ama nilikopenda?
ndugu watu ambao wewe unawapenda na unahisi una mpango nao ni pasua kichwa sana. atakuja kukuacha kwenye point ya muhimu sana na ukajutia kumpenda na kumuacha yule anayekupenda kwa dhati. mimi mwenyewe ni mwathirika wa hii kitu na mpaka leo najutia na nimekosa kabisa mvuto na watu hawa japokuwa wapo wanaonitaka kwa wakati huu. kama unaona huyo anayekupenda anafaa kuwa nawe we mpe nafasi tu.
 
Fungu biashara uipende na ikuletee faida, mapenzi huyawezi, kama kitu kidogo kama hivi unatafuta ushauri.
 
Kama umpnd achana nae kwan utamchoka mapema!umpendae kama na yy anakupenda pia basi jitahd umbadilishe tabia awe utakavyo ww
 
mkuu unachokipenda ndio unakula vizuri mimi kama sijapenda ata mzee asimami kwani naisi kama naonewa.
 
Wanajamvi hebu tiririkeni maana sijui nichukue uamuzi gan. Kwa kifupi kuna wadada nina uhusiano nao wa karibu. Sasa mmoja kati ya ananipenda zaidi ya kupenda. Hata hivyo huyu sina mpango naye japokuwa ananipenda. Huyu ninayempenda anaonekana kupenda vitu vya hali ya juu na sifa asizokuwa nazo. Sasa hapa sijui niende kule ninakopendwa ama nilikopenda?

Walete wote nikuchagulie yupi anakufaa
 
Back
Top Bottom