tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 12,054
- 16,509
Nimeitwa kwenye usaili kwenye chuo kikuu kimoja maarufu jijini dar kilichoko karibu na mlimani city ,idadi ya watu tulioitwa kwenye hyo nafasi ni 33 ila sijajua wanataka watu wangapi.
Sasa nauliza niende au nisiende maana niko arusha kwa sasa na usaili ni tarehe 13 mwezi huu ila hofu yangu ni kuwa naweza nikapoteza muda na gharama zangu kumbe wao huko wana watu wao waliowaandaa.
Tupeane mawazo wakuu.
Sasa nauliza niende au nisiende maana niko arusha kwa sasa na usaili ni tarehe 13 mwezi huu ila hofu yangu ni kuwa naweza nikapoteza muda na gharama zangu kumbe wao huko wana watu wao waliowaandaa.
Tupeane mawazo wakuu.