Niende Argentina na Mzungu?

Niende Argentina na Mzungu?

Nabii Mleke

Member
Joined
Mar 22, 2013
Posts
15
Reaction score
1
Nina mwanamke wa Kizungu ambaye kanipita miaka 10. Ananipenda na anataka niende nikaishi naye Argentina. Naombeni Ushauri na mawazo yenu.

Asante.
 
unaenda kua mtumwa wa ngono
ukirudi kwenu wanakusahau!
chezea wazungu weye!
 
unaenda kua mtumwa wa ngono
ukirudi kwenu wanakusahau!
chezea wazungu weye!

Unaona mbali sana wewe shemeji!
Utumwa wa kwanza ni kumla papai iwe hutaki ama unataka! (kula papai means kupiga mbizi kule kwenye ile kampuni yetu ya Kigoma inayo prodyuzi dawa ya mboga!)
 
Unaona mbali sana wewe shemeji!
Utumwa wa kwanza ni kumla papai iwe hutaki ama unataka! (kula papai means kupiga mbizi kule kwenye ile kampuni yetu ya Kigoma inayo prodyuzi dawa ya mboga!)

hahaaa!shem una maneno!
 
Unaona mbali sana wewe shemeji!
Utumwa wa kwanza ni kumla papai iwe hutaki ama unataka! (kula papai means kupiga mbizi kule kwenye ile kampuni yetu ya Kigoma inayo prodyuzi dawa ya mboga!)

Mmmh... Inaelekea unaona hatari sana kula papai.. Lol!
 
Kama unaweza kubaki nae TZ ni vizuri zaidi ,si nchi nzuri kwa wageni hasa kupata kazi,maisha yao yako chini huenda hata Tz tuna nafuumpia
unaweza kunyanyasika ukawa mtumwa kwenye nchi ya mbali
 
Nenda mwanawane! Tanzania yenyewe hii washauziwa wachina, kajaribu na huko!
 
Ni ujasiriamali mzuri kwako manalalamika hamna mitaji kumbe mnatemebea nayo, kuwa rational pia itendee haki nafsi yako ili isikuhukumu kwa utakaloamua
 
nenda ukakumbane na ubaguzi wa watu wa america ya kusini,ila kama umeamua nenda tu bro,kila la kherri mkuu
 
nenda meku . mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe.
 
nenda lakini keep in touch, usisite kuomba wanajf wote wanaokusapoti kwenda msaada wa kurudi pindi utakapoona unatumika au unatumiwa vibaya. Ckiliza nafsi yako inasemaje, chuja ushauri unaopewa then fanya maamuzi.
 
Huyo mama nahisi anadanguro la wanaume huko kwao, kaja kukuteka kiakili anajua upo apeche alolo! Kama unadhani upo tayari kuliwa, basi kila la kheri mkuu, go go go mkuu usigeuke nyuma! Wakati ni huu!
 
Huyo mwanamke ni Mzungu au Mlatino?
Huko Argentina ni kwao(familia yake ilipo) au ni makazi tu?
Anajishughulisha na mambo yapi haswa yanayompa kipato?
Ashawahi kuolewa kabla au ana watoto?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom