True Man11
Member
- Oct 14, 2022
- 86
- 119
Wakuuu,
Nimekuja Tanga leo kwa mara ya kwanza, naomba wenyeweji mnipokee na mnaoijua Tanga naomba mniambie wapi napata usingizii mzuri?
Nitakuwa hapa kwa siku mbili na mambo yangu kidogo, naombeni machimbo ya vitu vizuri vyovyote vya Tangaš
Nimekuja Tanga leo kwa mara ya kwanza, naomba wenyeweji mnipokee na mnaoijua Tanga naomba mniambie wapi napata usingizii mzuri?
Nitakuwa hapa kwa siku mbili na mambo yangu kidogo, naombeni machimbo ya vitu vizuri vyovyote vya Tangaš