bbwaoy
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 466
- 468
Si tatizo geni hasa Kwa vijana wengi ambao wana aanza kutafuta maisha nikiwemo na mimi mwenyewe kua na tabia ya "matumizi mabaya ya fedha " binafsi napenda sana luxury stuffs sio lazima kiwe na bei kubwa ila so long as its a few luxury stuff huwa sioni tabu kuvuta mkwanja bank na kwenda kununu. Mfano; nguo, viatu, gadgets, drink+food yani kwa kifupi napenda UBORA sana ...sasa hii tabia sijui ni mbaya kulingana na ninacho ki depost bank au vp ..
Swali langu sasa: ni kwa jinsi gani au ni njia zipi mimi na yule tunaweza zifata au kuzingatia ili kuweza kua na hekima ya matumizi ya hela/kipato
Swali langu sasa: ni kwa jinsi gani au ni njia zipi mimi na yule tunaweza zifata au kuzingatia ili kuweza kua na hekima ya matumizi ya hela/kipato