Mwenye akili anajuwa kufudisha mpaka hayawani anaelewa, wabongo tumeshindwa hata kufudisha forofo wakala mizinga ya kufa mtu-tuna akili kweli?
Si unaona, sukari inapanda kwa 25% ndani ya mwezi, mabomu yanatulipukia kwa uzembe wa mshenzi fulani tumetulia, jamaa kachakachua uchaguzi tunaona hayatuhusu miaka 5 siyo mbali, machinga wana timuliwa mjini bila kupewa alternative, tunaona shauri yao, wamegawa madini yote tunaona bomba tu hivi tulilogwa na nani?