Uponyaji na uzima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,000
- 2,129
NIDA wametoa gawio la bilioni 38.8 kwa serikali. Naomba kufahamu vyanzo vyao vya mapato.
kila shirika linalotaka taarifa za mtu znalipia either kwa kuweka kidole ama kuingiza namba ya nidaNIDA wametoa gawio la bilioni 38.8 kwa serikali. Naomba kufahamu vyanzo vyao vya mapato.
Nimekusoma. Kwahiyo hata voda wanawalipa nida kwa ajili ya customer verification.kila shirika linalotaka taarifa za mtu znalipia either kwa kuweka kidole ama kuingiza namba ya nida
yeap ni around 2500 kitu kama ichoNimekusoma. Kwahiyo hata voda wanawalipa nida kwa ajili ya customer verification.
Nilidhani hiyo ni huduma ya bure.
Kwa Kutokutoa vitambulisho yani wanarudisha hela za bajeti yao ya kutoa huduma.NIDA wametoa gawio la bilioni 38.8 kwa serikali. Naomba kufahamu vyanzo vyao vya mapato.
NIDA wanapata hela kupitia vitambulisho vyao.NIDA wametoa gawio la bilioni 38.8 kwa serikali. Naomba kufahamu vyanzo vyao vya mapato.
Huu ni wizi wa nje nje. Serikali inafanya wizi maana tayari wanalipwa kodi na kuna fedha za bajeti NIDA wanapewa.NIDA wanapata hela kupitia vitambulisho vyao.
Mfano ukienda Bank kufungua akaunti ukaambiwa leta namba ya NIDA , BANK wao watachajiwa shilingi 500 kwa kila mteja atayefungua akaunti .
Kadhalika ukienda kutafuta uhamiaji kutafuta passport ukiombwa namba ya NIDA, uhamiaji wanatozwa shilingi 500.
Kiufupi ukienda taasis yeyote ukaombwa namba ya NIDA kwa ajili ya matumizi yao jua kuwa kuna charges ya shilingi 500.
Na namna ya Taasis kujiendesha pia na kupunguza utegemezi wa ruzuku serikalini.Huu ni wizi wa nje nje. Serikali inafanya wizi maana tayari wanalipwa kodi na kuna fedha za bajeti NIDA wanapewa.
Hayo malipo sio halali kwasababu ni sehemu ya compliance na ni huduma ya serikali isiyokuwa revenue generating kwa makampuni yanayoomba verification ya watumiaji wake.Na namna ya Taasis kujiendesha pia na kupunguza utegemezi wa ruzuku serikalini.
Bure ninkufa tu mtu wanguNimekusoma. Kwahiyo hata voda wanawalipa nida kwa ajili ya customer verification.
Nilidhani hiyo ni huduma ya bure.
Muda mwingine hundi huwa ni bortion tu hata hakuna uhalisia ...Maana hawatuamnii inavyokua calculated.Msisahau mwakani kuangalia Repirt ya CAG hawa hawa ndio wanaongoza kwa hasara na wizi.
Leo wanatoa gawio, kesho utasikia Mkurugenzi kafukuzwa kwa kisababishia hasara za mabilioni ya shilingi, na Takukuru wanakumbushwa kumkamata na kumfungulia mashitaka.