MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,401
- 40,252
Atajua hajui. Safari ya Kigoma ni kama unaenda nchi jirani. Ukaguzi ni mkali mno.Alafu hana kitambulisho cha NIDA anaishi Kigoma na kusema Nne bajui anasema ine, kusema mtu hajui anasema Mutu , na Immigration wanafanya doria muda wote
Wewe mpuuzi kama kitambulisho hakina maana asiende kuchukua. Halazimishwi.Kwa nivyo muelewa mtoa Mada ni kwamba alijiandisha Temeke na akapata namba bila kitambulisho then akaenda kigoma sasa Vitambulisho vimetoka yeye yupo mbali na wanamfungia Nida ilikuaje wakashindwa kutoa kitambulisho Moja kwa Moja now wasumbue wananchi mbona vya kura wanafyatua hapo hapo kama Sio uhujumu tu ?
Kingine
Kwakwambia hajui umuhimu wa NIDA wapi?
Acha kukurupuka dume zima unajiita mama Samia hovyo na mandevu Yako yaliyotapakaa sehemu zote nyeti za mwili,
Shabhaaash!
😄😁😁😄😄😄Kama uko Kigoma ni halali, hiyo ni nchi inayojitegemea ila ina ushirika na Tz
Uhamiaji wakaze maana wakilegeza tu miaka kumi ijayo Kigoma itamilikiwa na warundi wamekuja na njia ya kuzaliana kwa wingi huku wakiwazalisha wanawake wa kitanzania.Alafu hana kitambulisho cha NIDA anaishi Kigoma na kusema Nne bajui anasema ine, kusema mtu hajui anasema Mutu , na Immigration wanafanya doria muda wote
Umepaniki ukiwa umevaa bikini ya rangi gani mama Samia?Wewe mpuuzi kama kitambulisho hakina maana asiende kuchukua. Halazimishwi.
Hata sielewi jamaniKwa hiyo NIDA wanaharibu vitambulisho vilivyopo ambavyo havijschukuliwa, halafu watawatengenezea vingine ama??Kwa bajeti ipi?? Au ikifungwa ukienda inafunguliwa??
Sasa mimi nitajuaje jamaniKama ulikua unatuma zile meseji za "ile hela tuma kwenye namba hii" au unatuma meseji zinazofanana kwa watu wengi ndani ya muda mfupi , laini na namba yako ya Nida inafungwa au kimoja wapo.
Umeshanyang'anywa uraia cha kukusaidia nikubalie nikuoe ili upate tena uraia kwa njia ya ndoa, vinginevyo hata kufungua Account bank au kupata ajira hutaweza tenaSasa mimi nitajuaje jamani
😂😂Kama uko Kigoma ni halali, hiyo ni nchi inayojitegemea ila ina ushirika na Tz
😄😄😄😄Umeshanyang'anywa uraia cha kukusaidia nikubalie nikuoe ili upate tena uraia kwa njia ya ndoa, vinginevyo hata kufungua Account bank au kupata ajira hutaweza tena
Kwani ulijiandikishia wapi?Nilitaka kusajili laini leo, zaidi ya mara 3
Naambiwa taarifa zangu hazipo NIDA,
Hawa NIDA 😰😰 kwahiyo me nitoke kigoma nikafate kitambulisho Temeke daah
Walitangaza kuwa watu mkachukue SS watz mnapenda kuchukukia poaNinazo nimeitumia hii nida kwa vitu vingi
Very trueUkiritimba tu wa hiyo kitengo kwanini wasingetoa Vitambulisho Moja kwa Moja wakaanza kutoa namba na saizi wasumbue wananchi,
Vitambulisho vya kura wanafyatua muda huo huo kwa sababu vinawaingiza madarakani Nida aaaah!
Shabhaaash!
Kwahiyo baada ya miaka 13, ndo uone kuwa ni lazima uwe na kipande?Walitangaza kuwa watu mkachukue SS watz mnapenda kuchukukia poa
Huo ubunifu peleka kwenu Burundi.Umepaniki ukiwa umevaa bikini ya rangi gani mama Samia?
Kitambulisho hard copy cha nini wakati namba ndio umebeba Taarifa zote?
Nyie primitive mbona mnaushamba wa kisokwe hivyo
Numeral ndio zimebeba Taarifa hiyo hard copy inaweza potea wangekuja na sera kwamba usipokua na Nida unagutiwa uraia na wao wakawa wanatoa kwa wakati na bila mlolongo Sawa ila hizo drama zao za kijima inadhihilisha ni watu wajinga waliokosa ubunifu na kwenda na wakati
Pharrell wewe!
Mbona haueleweki?Nilitaka kusajili laini leo, zaidi ya mara 3
Naambiwa taarifa zangu hazipo NIDA,
Hawa NIDA 😰😰 kwahiyo me nitoke kigoma nikafate kitambulisho Temeke daah
Wengi walitoka Kigoma kujiandikisha Temeke toka nchi jiraniKwa nivyo muelewa mtoa Mada ni kwamba alijiandisha Temeke na akapata namba bila kitambulisho then akaenda kigoma sasa Vitambulisho vimetoka yeye yupo mbali na wanamfungia Nida ilikuaje wakashindwa kutoa kitambulisho Moja kwa Moja now wasumbue wananchi mbona vya kura wanafyatua hapo hapo kama Sio uhujumu tu ?
Kingine
Kwakwambia hajui umuhimu wa NIDA wapi?
Acha kukurupuka dume zima unajiita mama Samia hovyo na mandevu Yako yaliyotapakaa sehemu zote nyeti za mwili,
Shabhaaash!