NIDA Morogoro msinitafutie kufungiwa

NIDA Morogoro msinitafutie kufungiwa

BigBaba

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
1,908
Reaction score
9,041
Ndugu zangu hakuna siku niliyopata hasira kama leo mnamo tarehe 28/3/2018 nilisikia tangazo kwa Radio kwamba Nida wanandikisha kwa watu walio kwenye mifuko ya kijamii ambao hawakupata wakati wakujiandikisha kipindi zoezi linaendelea mitaani nami ni mmoja wao.

Zoezi lilitangazwa litaanza tarehe 28/3 - 20/4 nikapanga kwenda morogoro kujiandikisha mana ni mkazi wa Moro na kituo changu cha kazi ni morogoro sema nipo Arusha kwa kazi maalum. Na NIDA mkoa wa Moro ndio waliotoa Tangazo hilo.

Kilichonichefua nilipofika ofisi za NIDA kujiandikisha siku ya leo ni kauli mbovu na mapokezi mabovu ya wafanyakazi wa ofisi hiyo. Kwanza nilipoingia wameanza kusukumiana nenda meza hiyo nikienda nasukumwa meza ya mbele nikawauliza mbona hivi, mnajua umbali niliotoka na muda niliotumia mpaka kufika hapa acheni hizo.

Nikasumwa tena meza ingine afisa wa meza hiyo akaanza kunihoji unakaa mtaa gani kazi na mambo mengi nikajua ndo naelekea kuandikishwa sikuamini nilipoambie mtaa unaokaa wewe tushaandikisha njoo mwezi wa sita nikamwambia mbona tangazo lenu ninawataka watu walio kwenye mifuko ya kijamii waje Nida kujiandikisha akadai eti walikuja ofisini kwetu kuandikisha watu wakajiandikisha wachache kwa hiyo tusiwasumbue.

Nikamuuliza unajua wajibu wako kweli au umewekwa tu hapo ofisini? hujui nmetoka Arusha mpaka hapa kwajili ya hii kazi harafu we unaona nmekuja kupoteza muda

Nikasepa sitaki tena kujiandikisha na hicho kitambulisho chenu sitaki. Halafu hapo ofisi naona wahindi wanawanyenyekea kishenzi Kwa ujumla ofisi ya NIDA ya mkoa wa Morogoro ni ujinga mtupu. Wapeni hao wahindi hivyo vitambulisho
 
Ukitaka huduma mbovu Tz nenda ofisi ya serikali usiyojuana na mtu Yeyote....utajuta
TRA...Poloce
Mahakama.
NiDa...

Na kwingine mnapopajua ninyi....watumishi wengi wa serikali ni mizigo na hawajui wamefuata nini Maofisini

Wanachokijiua wao..
Faida za kuajiliwa na serikali na kudai malipo makubwa na rushwa tu.
Kwa kifupi Dereva wa Lori
Ana kazi kubwa sana kubadili mfumo...uliooza.

Maisha yamekuwa ya shida na chanzo ni idara za serikali

Tarula..
Naye kaletwa ...miundombinu ni mibovu hatari hapa Dar...
Hakuna unafuu wa maisha.

Watumishi wa serikalinwengi wanaongezeka vitambi na sio maarifa na ubunifu wa kazi...wengi
Akili zinapungua....
Matumbo yanaongezeka
Tamaa imekuwa kubwa
Rushwa imepanda bei...

Kwa kifupi.

Kitambulishao Cha Taifa ni Haki ya lazima kupewa mwananchi mtz.

Hawapaswi kukujibu hayo.
Walitakiwa kuchukua taarifa zako tu na si vinginevyo.
Inamaana wamesusa kisa walijitokeza wachache?

Walitakiwa kuendelea kuandikisha kila mwezi kila siku...
Au hata kila miez 2
Kwakuwa wanahitaji ni wengi na wanatimiza vigezo vya umri na mengoneyo wanaongezeka kila leo.

NIDA

Ni mzigo wa Taifa hili na wanajijua.

NIDA WANAPASWA KUFUTUSHWA WOTE NA KUUNDWA UPYA KWA KUHAKIKISHA WALE WAZAMANI HAWARUDI TENA KAZINI.

WAPOTELEEEE MBALIIIOOOO
 
Hili chimbo ni moja ya maeneo ya kipuuzi kabisa wanakula kodi zetu lakini ufanisi ni big zero
 
Ngozi nyeusi tuna shida yaan mtanzania mwenzao wakakupiga dana dana ila wahindi wananyenyekewa aiseeee
 
Hao NIDA sio kabisa nilifuata kitambulisho changu pale Dodoma treasure square asubuhi hadi jioni sikukipata wanaishia kutuandika majina nikasepa sikurudi tena nanisha ondoka Dom kitambo nime waachia, ni wasumbufu sana hawa NIDA.
 
Huwezi amini huwa natoka Zanz mpaka Dar kufuatilia kitambulisho changu Nina mwaka wa 3 sijakipata.
 
Aisee km ningekua mimi ningekomaa na Meza moja ningewaambia hapa sitoki hadi niandikishwe, na hakika huyo afsa wa meza iyo asingefanya kaz nyingne. Ningewaambia hapa sitoki hata mkitaka kunifungia umu ndani kesho mtanikuta hapa. NIANDIKISHENI NITOKE
Wanakera sn hawa watu. MA....E ZAO
 
Niliandikishwa 2013 na wameshatuma msg nije ofs za nida wakati huo gongo la mboto siku niliyofika nikajibiwa mashine iko msongola nikaondoka sijakanyaga tena,wiki iliyopita nikaenda nida w ilala ,wakaangalia kwenye mtandao hata jina hakuna,nikaona Haya mazito.kwa hiyo nianze upyaa.mwaka huu tutaona mengi.
 
Ukitaka huduma mbovu Tz nenda ofisi ya serikali usiyojuana na mtu Yeyote....utajuta
TRA...Poloce
Mahakama.
NiDa...

Na kwingine mnapopajua ninyi....watumishi wengi wa serikali ni mizigo na hawajui wamefuata nini Maofisini

Wanachokijiua wao..
Faida za kuajiliwa na serikali na kudai malipo makubwa na rushwa tu.
Kwa kifupi Dereva wa Lori
Ana kazi kubwa sana kubadili mfumo...uliooza.

Maisha yamekuwa ya shida na chanzo ni idara za serikali

Tarula..
Naye kaletwa ...miundombinu ni mibovu hatari hapa Dar...
Hakuna unafuu wa maisha.

Watumishi wa serikalinwengi wanaongezeka vitambi na sio maarifa na ubunifu wa kazi...wengi
Akili zinapungua....
Matumbo yanaongezeka
Tamaa imekuwa kubwa
Rushwa imepanda bei...

Kwa kifupi.

Kitambulishao Cha Taifa ni Haki ya lazima kupewa mwananchi mtz.

Hawapaswi kukujibu hayo.
Walitakiwa kuchukua taarifa zako tu na si vinginevyo.
Inamaana wamesusa kisa walijitokeza wachache?

Walitakiwa kuendelea kuandikisha kila mwezi kila siku...
Au hata kila miez 2
Kwakuwa wanahitaji ni wengi na wanatimiza vigezo vya umri na mengoneyo wanaongezeka kila leo.

NIDA

Ni mzigo wa Taifa hili na wanajijua.

NIDA WANAPASWA KUFUTUSHWA WOTE NA KUUNDWA UPYA KWA KUHAKIKISHA WALE WAZAMANI HAWARUDI TENA KAZINI.

WAPOTELEEEE MBALIIIOOOO
Nmekasirika Sana siku ya leo jamaa wajinga Sana ofisi ile
 
Aisee km ningekua mimi ningekomaa na Meza moja ningewaambia hapa sitoki hadi niandikishwe, na hakika huyo afsa wa meza iyo asingefanya kaz nyingne. Ningewaambia hapa sitoki hata mkitaka kunifungia umu ndani kesho mtanikuta hapa. NIANDIKISHENI NITOKE
Wanakera sn hawa watu. MA....E ZAO
Yani nida Moro panahitaji mabadiliko
 
Niliandikishwa 2013 na wameshatuma msg nije ofs za nida wakati huo gongo la mboto siku niliyofika nikajibiwa mashine iko msongola nikaondoka sijakanyaga tena,wiki iliyopita nikaenda nida w ilala ,wakaangalia kwenye mtandao hata jina hakuna,nikaona Haya mazito.kwa hiyo nianze upyaa.mwaka huu tutaona mengi.
Pole Sana mkuu wanakela kishenzi
 
Hao NIDA sio kabisa nilifuata kitambulisho changu pale Dodoma treasure square asubuhi hadi jioni sikukipata wanaishia kutuandika majina nikasepa sikurudi tena nanisha ondoka Dom kitambo nime waachia, ni wasumbufu sana hawa NIDA.
nami nina mpango wa kwenda kugombana nao hapo... nasikia hutakiwi ndala mguuni wala jinzi na fulana... yani watashangaa... hiyo siku maana wengine aise hatunaga muda wa kugombana na wengine ila ukitukosea tutakoseana... na tuna virekodio hivyo rahisi tu kupambana na mjinga hutumii nguvu kubwa...
 
nami nina mpango wa kwenda kugombana nao hapo... nasikia hutakiwi ndala mguuni wala jinzi na fulana... yani watashangaa... hiyo siku maana wengine aise hatunaga muda wa kugombana na wengine ila ukitukosea tutakoseana... na tuna virekodio hivyo rahisi tu kupambana na mjinga hutumii nguvu kubwa...
Kapambane nao mkuu wajinga sana
 
Back
Top Bottom