Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Wakati zoezi la uchukuaji wa fomu za kuomba ridhaa ya kugombea ubunge kwa makada wa Chama cha Mapinduzi likifika siku ya pili Kada wa Chama cha Mapinduzi Nicolaus Chichake amechukua kuomba ridhaa kwa Jimbo la Tarime Vijijini Mkoani Mara.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu katika Ofsi za Chama cha Mapinduzi Tarime Mjini amesema amewiwa kama kijana kuomba ridhaa kama Chama kitamchagua atakikisha anakuwa sehem ya wananchi katika kuwagusa wananchi katika kuwaletea Maendeleo katika Nyanja mbalimbali ikiwemo Afya ,Elimu na Maji pamoja na kuyagusa makundi yote
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu katika Ofsi za Chama cha Mapinduzi Tarime Mjini amesema amewiwa kama kijana kuomba ridhaa kama Chama kitamchagua atakikisha anakuwa sehem ya wananchi katika kuwagusa wananchi katika kuwaletea Maendeleo katika Nyanja mbalimbali ikiwemo Afya ,Elimu na Maji pamoja na kuyagusa makundi yote