Mods kwanini PM yangu haina mvuto na mashory,miaka yte hii niko jf hata siku moja sjakutana na mesej ya mchuchu hata ya bahati mbaya?,ni haki kweli hii,mlishuhulikie hilo.
Tunapokea jumbe nyingi sana na tunajitahidi kuzipitia zote.. Ila tutaongeza kasi mkuu..
Nafasi za umod zitatangazwa endapo tutahitaji kuongeza nguvu, usijali kabisa..