Nichagulie godoro bora la kutumia

Nichagulie godoro bora la kutumia

Wild fauna

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
461
Reaction score
189
salaaaam
ninataka kununua godoro kwa ajili ya kitanda cha sita kwa sita. tafadhali naomba ushauri wenu ni godoro la kampuni gani ni bora?
kwa sasa natumia Tanfoam ila naona kama silielewi elewi hivi kwa maana kwamba ukikalia linakuwa kama chapati then linarud kwenye hali yake baada ya muda sana. unless nilishikishwa nikapewa famba kipindi hicho
 
Itakuwa ulinunua mitaani tanfon wapigie watakuelekeza mawakala Wao and au kama ujawaelewa nenda mkuki Mall ila ujipange maana bei zao zimechangamka.
 
Back
Top Bottom