Nichague yupi

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Yaani baada ya ile kasheshe ya kupata kabinti ka miaka 15 ,wazee wenye busara wameonelea haipendezi kwa kuwa ni kafupi au kwa lugha sanifu ni kibete ila kimejazajaza kidogo ,sasa hawa wazee wamenishauri nitafute kajana jike kalicho chongoka kidogo au yaani awe amepanda juu japo asinifikie urefu wangu.
Nimeonelea mbali ya busara zao bora kwanza nirudi hapa kijiweni ili tupeane ushauri wa kasi mpya ,unajua kuna mambo kibao mkiwa vimo vyenu ni tofauti basi inabidi kuvunjika mgongo kwa kufuatilia shavu ,na kusabusha vioja katika mambo ya madenda.

Najua hapa nimefika kwa wataalamu wenye ushauri wa kielimu japo experiansee inatosha , sasa wakongwe mnasemaje tunapolifikisha suala la wapendanao na kuzingatia vimo.
 
Mbali ya urefu / ufupi, wembamba /unene jamani kuna quality zingine walizokushauri uzifwatilie, maana relationship/ ndoa is more than that
 
Yaani baada ya ile kasheshe ya kupata kabinti ka miaka 15 ,wazee wenye busara wameonelea haipendezi kwa kuwa ni kafupi au kwa lugha sanifu ni kibete ila kimejazajaza kidogo ,sasa hawa wazee wamenishauri nitafute kajana jike kalicho chongoka kidogo au yaani awe amepanda juu japo asinifikie urefu wangu.
Nimeonelea mbali ya busara zao bora kwanza nirudi hapa kijiweni ili tupeane ushauri wa kasi mpya ,unajua kuna mambo kibao mkiwa vimo vyenu ni tofauti basi inabidi kuvunjika mgongo kwa kufuatilia shavu ,na kusabusha vioja katika mambo ya madenda.

Najua hapa nimefika kwa wataalamu wenye ushauri wa kielimu japo experiansee inatosha , sasa wakongwe mnasemaje tunapolifikisha suala la wapendanao na kuzingatia vimo.

Kesi hiyo.
 
Ila ni vizuri kama watu mkioana msipitashe sana vimo. Muwe vimo vyenu sawa au inapendeza mwanaume amzidi kidogo mwanamke.
 
Aah, baba Mwiba naona unaendeleza ile mada yako. Sasa mbona hapo awali ulianzia mbali ohh sijui nina rafiki sijui anataka kuoa sijui blah blah..kumbe muhusika ni weye menyewe..Bua ha ha ha..

Mindhali umamua kuja jamvini kuomba msaada wa wazee wa jamvi,sisi hatuna khiyana. Ushauri hapo ni chagua mke ambaye anamcha Mola, lakini awe anakuvutia vilevile. Mambo ya kimo ni secondary kidogo, lakini unaweza ukayapa kipaumbele kama yamo kwenye selection criteria zako.

By the way ka-fiftini yuro kameanza shule? Maana mwezi Machi hivi sasa..Nakupongeza kwa kukaacha hako katoto kapate nuru ya akili yake.

Masalama.
 
Huo wasifu wa nje siyo wa muhimu sana, cha kuangalia ni mapenzi kama yapo na mtu mtakayeelewana, ndoa si mchezo unatakiwa uwe makini sana katika kuchagua
 
Amna chochote naona mnatisha ile mbaya ,naona kila mtu anasema ndoa si mchezo kwani nani aliwambia kuwa ni mchezo ,nyie vipi,yaani vitisho vyenu alimasula niludi kwenye nyama za kupima badala ya kununua ng'ombe mzima na kumfuga ila nimekutata na kabitozi kamoja hako na kuniambia kuwa nisiwe na woga wowote ,eti yeye kama angejua urahisi wa kuwa ndani ya ndoa basi abgelioa angali na miaka kumina nane tu,lakini vitisho vya watu wasiokuwa na maadili vilimponza ,na hivi sasa watoto wake wote watatu amewapa wake mmoja alipotimia miaka kumi na nane mmoja 20 na wakike amemwozesha akiwa na miaka 22.

Sasa natumai vijike vifupi ni mchoko ,maana nasikia ni wabishi ile mbaya ,na ndio kawaida ya watu wafupi sasa akiwa mwanamke ndio balaa.
 
Kwani wewe ni mfupi au mrefu?
Mrefu labda kama Mh.Warioba ,kuna kipindi walikuwa wakiniita warioba si unajua wabongo kwa kuitana majina ya kubambikiza ,wengine wakiitwa Kajole basi kwa kuwa tu mtu anacheza beki na kuchanganyisha na faulu za kuzoazoa au vibuyu.
 
Back
Top Bottom