Nice Pics from Egypt

Ghost

JF-Expert Member
Apr 20, 2010
428
53
http://totallycoolpix.com/2011/01/the-egypt-protests-part-2/
 
Very nice pics indeed, hata vyombo vya dola vinaandamana sio polisi uchwara wa Tz wanaoua watz bila hatia kwa ajili ya kuandamana.
 
Pics nyingine zimeacha nilengwe na machozi kuwakumbuka mashujaa wa Arusha
 
ucjali bro, nasubiri kwa hamu cku tutakapobandika picha kama hizi za sisi wenyewe tukiwa pale mnazi mmoja juu ya hizo machine.....alooooo... just thinking about it makes my heart start racing.....ONE DAY YES!! Aluta Continua....CDM started it....we will finish it...:clap2:
 
Ghost sijui kama Tanzania itakokea kama Egypt au Tunisia. Vyombo vya dola hasa jeshi la TZ wako kama mambwa ambao wamepewa kila kitu na kibosile wao kwahio wamesharidhika. Umeshawahi kusikia majeshi wakilalamika kuhusu mishahara?
Wanapewa almost kila kitu bure na wanafanyiwa hivyo makusudi ili wasije igeuka serikali.

Tembelea nyumba za maofisa ya majeshi pale Dar tu utajua ninachosema.

Wanaolalamika zaidi ni polisi kwani hawana nguvu yoyote kwenye nchi.
 
Duuuu balaaaa..sanaaa.....sisi wa tz hatuwezii hataa siku moja na maneno meeengii sanaaaa uogaa umetujaaa
 
Ghost sijui kama Tanzania itakokea kama Egypt au Tunisia. Vyombo vya dola hasa jeshi la TZ wako kama mambwa ambao wamepewa kila kitu na kibosile wao kwahio wamesharidhika. Umeshawahi kusikia majeshi wakilalamika kuhusu mishahara?
Wanapewa almost kila kitu bure na wanafanyiwa hivyo makusudi ili wasije igeuka serikali.

Tembelea nyumba za maofisa ya majeshi pale Dar tu utajua ninachosema.

Wanaolalamika zaidi ni polisi kwani hawana nguvu yoyote kwenye nchi.

Egypt unrest: Army calls on protesters to go home

BBC News - Egypt unrest: Army calls on protesters to go home

Egypt's army has called for protesters to return home and allow life to return to normal after nine days of anti-government demonstrations.
The call came amid continued pressure on President Hosni Mubarak to quit after a speech in which he pledged not to stand for re-election in September.
Many protesters vowed not to leave Cairo's Tahrir Square, saying Mr Mubarak's promise was not enough.
But thousands have also taken to Cairo's streets to support him.
Up to 2,000 anti-Mubarak demonstrators saw out a cold night in Tahrir Square, the epicentre of the protests, saying the president's pledge was insufficient and chanting: "We will not leave!". They want to see him deposed and punished.
 
Egypt unrest: Army calls on protesters to go home

BBC News - Egypt unrest: Army calls on protesters to go home

Egypt's army has called for protesters to return home and allow life to return to normal after nine days of anti-government demonstrations.
The call came amid continued pressure on President Hosni Mubarak to quit after a speech in which he pledged not to stand for re-election in September.
Many protesters vowed not to leave Cairo's Tahrir Square, saying Mr Mubarak's promise was not enough.
But thousands have also taken to Cairo's streets to support him.
Up to 2,000 anti-Mubarak demonstrators saw out a cold night in Tahrir Square, the epicentre of the protests, saying the president's pledge was insufficient and chanting: "We will not leave!". They want to see him deposed and punished.

"Your message has arrived, your demands became known... you are capable of bringing normal life to Egypt," said a spokesman in a message broadcast on state television.
 
Win-win situation? Some demonstrators said they did not trust their 82-year-old leader to enact the necessary constitutional changes.


"The speech is useless and only inflames our anger," one protester, Shadi Morkos, told Reuters. "We will continue to protest."
However, other Egyptians said they believed that Mr Mubarak's offer could be a suitable compromise.
Omneya Okasha, a resident from Alexandria, told the BBC she believed that sudden change could lead to "more drastic consequences".
"I find this a stable solution something that suits both sides - a win-win situation."
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom