Nianzishe story gani.

Najitahidi kutafuta hata story ya kutunga tu ili nianzishie thread 'Cheat-Chat' lakini zote zinakataa. Huwa sina raha kabisa nikimaliza siku mbili bila kupost kitu.

ivi ni "cheat" chat kumbe?
Mi nlijua ni chit chat.
 
Kuku kapanda baiskeli bata kavaa desh desh......
 
Sikia Ndugu yangu,
Kama unataka ya kutunga iakayovutia watu, andika hata "Umerudi CCM", mi nakihakikishia post zitafika hata 500,
Kama unabisha jaribu!!!
 
mkuu tunakusubiri na stori yako ili tuisome.Nalog off
 
Najitahidi kutafuta hata story ya kutunga tu ili nianzishie thread 'Cheat-Chat' lakini zote zinakataa. Huwa sina raha kabisa nikimaliza siku mbili bila kupost kitu.

Hahahahahaha lol! Pole sana

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…