Nianzie wapi kusoma programming Languages

Nianzie wapi kusoma programming Languages

Kwanza jifunze vizuri sana C language na wakati wa kujifunza nakushauri usitumie windows tumia Os yoyote ya Linux ukipata Ubuntu,OS lunar sio mbaya hata Mac OS X unaweza kutumia. Ukielewa vizuri syntax za C languages hizo nyngine syntax nyingi huwa zinafanana vitu vichache sana vinaongezeka. Kwa hiyo ukitoka C unaweza kujump to Java ambayo ni Object Oriented kama unataka kupiga pesa kisela unaweza kuvamia hata PhP,HTML & CSS,MySQL ila cha umihumu uwe deep katika C

ebwana axante xana nitafanyia kaz ushauri wako mana , ni mzuri
 
Kiswahili tu unaandika hivi, je syntax za programming utaziweza!!? Labda kama unasoma kujifurahisha na sio programmer

am going to be a programer and web developer together with being gamer,xo hujanishauri, ni bora ungenishauri kwanza
 
Kwanza jifunze vizuri sana C language na wakati wa kujifunza nakushauri usitumie windows tumia Os yoyote ya Linux ukipata Ubuntu,OS lunar sio mbaya hata Mac OS X unaweza kutumia. Ukielewa vizuri syntax za C languages hizo nyngine syntax nyingi huwa zinafanana vitu vichache sana vinaongezeka. Kwa hiyo ukitoka C unaweza kujump to Java ambayo ni Object Oriented kama unataka kupiga pesa kisela unaweza kuvamia hata PhP,HTML & CSS,MySQL ila cha umihumu uwe deep katika C

mkuu niko vizuri ktk PHP, mysql, html na css hzo deal nitapateje mjini hapa nipe ujanja.
 
am going to be a programer and web developer together with being gamer,xo hujanishauri, ni bora ungenishauri kwanza

Tatizo ni aina ya uandishi uliyoingia nayo ndo ilikuponza, ungeandika hivi mbona kusingekuwa na shida, Anza na C, C+, Java. Ukizijua hizi you can go beyond other languages
 
Haha the guy calls himself genius, enough said, that's the x-generation, s = x.
 
mkuu niko vizuri ktk PHP, mysql, html na css hzo deal nitapateje mjini hapa nipe ujanja.

nataka website yenye link na Paypal,mastercard/visa na Other money transfer protocol
je unaweza hiyo?
nshakupa dili tayari
 
Kiswahili tu unaandika hivi, je syntax za programming utaziweza!!? Labda kama unasoma kujifurahisha na sio programmer


Teh teh kuna yule compiler ama interpreter (depending na language utakayokuwa unatumia) hana huruma ukisahau hata nukta moja ( . ) utapata hizo errors mpata utakimbia kwa mfano ukiandika code zako kama:


xtring uxername='root';
xyxtem.out.println(uxername);

:A S-eek:


Lazima utaichukia programming,


Jokes aside kiufupi hii kitu inahitaji umakini wa mkubwa, utulivu na commitment. Kwa ushauri wangu anza kujifunza programming concepts, start thinking like a programmer jaribu kuangalia how you can build algorithms to solve simple problems, beginners wengi wanaanza na some basic math problems....know if a number is prime,even,odd etc


Know how conditional statements work,loops etc. Most languages zinazunguka kwenye principles hizo hizo just uandikaji (syntax) unakuwa tofauti.
 
Mkuu si upotezee tu kuna vitu vinakwanza tu
Mm nafikiri nikumuacha mtu akaishi anavyotaka
 
Kwanza jifunze vizuri sana C language na wakati wa kujifunza nakushauri usitumie windows tumia Os yoyote ya Linux ukipata Ubuntu,OS lunar sio mbaya hata Mac OS X unaweza kutumia. Ukielewa vizuri syntax za C languages hizo nyngine syntax nyingi huwa zinafanana vitu vichache sana vinaongezeka. Kwa hiyo ukitoka C unaweza kujump to Java ambayo ni Object Oriented kama unataka kupiga pesa kisela unaweza kuvamia hata PhP,HTML & CSS,MySQL ila cha umihumu uwe deep katika C
Mkuu, kuna website yoyote ambayo inaweza ikasaidia ktk vitu kama materials na vikorokoro vingine vinavyohusiana na somo hilo? Kama ipo iweke tafadhali
 
Check Tutorials za hawa jamaa wanajiita "Tutsplus", "Lynda" na "Video2Brain" kwenye Torrent sites

Hii ni nzuri sana kwa watu wa Web design and programming
Je hamna video tutorials kwa programing language nyingine kama C,C++,Paschal java etc
 
Daaah mie hilo somo ndo limenipga break mwaka mzma chuo na sasa hata sjamalza mwez nipo home napga ma inshu mtaani.
 
Daaah mie hilo somo ndo limenipga break mwaka mzma chuo na sasa hata sjamalza mwez nipo home napga ma inshu mtaani.

Hahaha,pole dadaangu. Programming inahitaji mtu mwenye nia. Ila kama unawaza hela kule sio mahali pake.
 
Back
Top Bottom