boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,108
- 1,404
Habari wakuu
Kwa lengo la kuongeza kipato. Nimekaa na kutafakari nikapata mawazo kwa matatu ya kuongeza kipato kutokana na kiasi kidogo cha pesa nilichonacho.
1: Nimewaza kununua pikipiki kwa ajili ya bodaboda part time job.
2: Kufungua ki duka cha sandals za kike na za kiume za dukani ( nimefanya research ndogo ya price kutoka kwa wholesaler to customer) location makumbusho stand.
3: Kufungua belo za Mtumba za ladies mixer hapa belo moja linauzwa 160,000 na Lina pair 45 ( location makumbusho stand)
Naomba ushauri wako kwa uzoefu wako au kwa namna nyingine naweza ongeza kipato.
Note: Siwezi kubeti siwezi fanya biashara ambayo siioni.
Kwa lengo la kuongeza kipato. Nimekaa na kutafakari nikapata mawazo kwa matatu ya kuongeza kipato kutokana na kiasi kidogo cha pesa nilichonacho.
1: Nimewaza kununua pikipiki kwa ajili ya bodaboda part time job.
2: Kufungua ki duka cha sandals za kike na za kiume za dukani ( nimefanya research ndogo ya price kutoka kwa wholesaler to customer) location makumbusho stand.
3: Kufungua belo za Mtumba za ladies mixer hapa belo moja linauzwa 160,000 na Lina pair 45 ( location makumbusho stand)
Naomba ushauri wako kwa uzoefu wako au kwa namna nyingine naweza ongeza kipato.
Note: Siwezi kubeti siwezi fanya biashara ambayo siioni.