Tatizo la tiles zinapotea madukani, unaweza kuweka chumba kimoja tiles za aina fulani halafu siku ukienda tena kwa ajili ya chumba kingine huzikuti. Matokeo yake nyumba inakua na tiles tofauti tofautiAnza vyote kwa chumba kimoja kimoja ili iendane na budget uliyonayo kwani mtindo huo unakubalika kwa mafundi na kihesabu
Kuna athari nyingi utazipata kwa kuanza na kimoja wapo at full,yaani kupiga tiles nyumba nzima au kuweka vioo nyumba nzima
Ni kweli huwa zinapotea na pia kuweka za aina tofauti pia ni urembo kwenye nyumbaTatizo la tiles zinapotea madukani, unaweza kuweka chumba kimoja tiles za aina fulani halafu siku ukienda tena kwa ajili ya chumba kingine huzikuti. Matokeo yake nyumba inakua na tiles tofauti tofauti
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app