Kwanini sasa mnategemea mme ndo atekeleze kila kitu?
Na mkiambiwa mme ndo kichwa cha familia mnakuja Ubeijing ooh haki sawa kwa wote ladies first kwenye maswala ya uchumi mnakaa pembeni eti mme lazima atekeleze wajibu wake.
Kwanini sasa mnategemea mme ndo atekeleze kila kitu?
Na mkiambiwa mme ndo kichwa cha familia mnakuja Ubeijing ooh haki sawa kwa wote ladies first kwenye maswala ya uchumi mnakaa pembeni eti mme lazima atekeleze wajibu wake.