Wewe ndio unaelewa game aisee. Kuongezea tu, watu wanatiana kwenye magari, vichaka, na sehemu zingine. Na kutiana hakuchukui masaa...ni vidakika vichache tu kitu na boksi. Halafu mwenzio akirudi jioni saa zile zile za kila siku anakuambia 'hi honey i missed you'...anakupiga na busu wakati katoka kumegwa au kumega..sasa hapo utashuku nini?...ahahahahaha...mlioko kwenye relationship nawaonea huruma sana! Poleni...
Na wewe ambae hauko kwenye relationship tunakuonea huruma zaidi maana tabia yako ya kula vya wenzio imeshastukiwa. Uko mbioni kunyakwa!