jafari irigo
Member
- Jan 9, 2013
- 16
- 0
Baada ya watu wengi kutoa shuhuda zao za kuponeshwa Sukari, presha,ngiri na mazindiko ya mji na Dr Alhaji toka mkoani Tanga na kwa Maombi ya wakazi wa Mwanza sasa yupo hapa jijini wasiliana naye 0787625719.
Mazindiko? Lakini kwa vile watanzania wengi ni wepesi wa kuamini wengine watapatikana tu!
Kwenda kuzindikwa!watapatikanaje?
Kwa nini asiende Bugando?
fKazi kweli kweli!ila kila kitu kwa imani.ukiamini dawa za hosp utapona,ukiamini kuombewa kanisani utapona,ukiamini kusomewa dua msikitini utapona na ukiamini huduma za kiasili utapona.tupeane Uhuru wa kuamua japo kushauriana ni muhimu.ukiupenda ushauri pokea na ikiwa haujaupenda unaupotezea.
Sijakuelewa!inamaana mtu akiwa na matatizo hataki kufanya kazi?ndugu yangu inawezekana haujawahi kupatwa na matatizo yakakufanya uache kazi uende hosp au kanisani au msikitini u kwa Hao watu wa jadi.na amini Kama ulishawahi pata tabu usingelisema Hiyo Kauli yako.f
anyeni kazi watanzania acheni mchezo mchezo
Baada ya watu wengi kutoa shuhuda zao za kuponeshwa Sukari, presha,ngiri na mazindiko ya mji na Dr Alhaji toka mkoani Tanga na kwa Maombi ya wakazi wa Mwanza sasa yupo hapa jijini wasiliana naye 0787625719.
Sijakuelewa!inamaana mtu akiwa na matatizo hataki kufanya kazi?ndugu yangu inawezekana haujawahi kupatwa na matatizo yakakufanya uache kazi uende hosp au kanisani au msikitini u kwa Hao watu wa jadi.na amini Kama ulishawahi pata tabu usingelisema Hiyo Kauli yako.