Ni yupi kati ya hawa?

Ni yupi kati ya hawa?

1. Mpole
2. Mkimya
3. Mcheshi
4. Mjanja
5. Mwenye msimamo.
6. Mkali / mkorofi
7. Msafi
8. Muelewa
9. Anae jiamini
10. Mwenye heshima
11. Mwenye PESA za kutosha

Labda ingekuwa hivi then wengi wangeangukia namba 11. Maana akiwa mwenye heshima halafu akakosa vingine vyoote hainogi pia, au akawa anayejiamini halafu awe hana heshima wala si muelewa haileti maana. But akiwa mwenye MAVUMBA ataonekana ana hizo zingine zote...

No 11
 
Kuna mmoja humu Alisema mwanaume asie na pesa ni sawa na mWanamke.
 
Mmh, kazi ipo na wapenda pochi
 
Kwa wasio jua mwanamke ni mtu wa ajabu sana anaweza ku fall in love kunako sehemu asio tegemea. Yupi kati ya aina hii ya wanaume una penda sana kuaa nae au ungependa kukaa nae na ukawa happy.

1. Mpole
2. Mkimya
3. Mcheshi
4. Mjanja
5. Mwenye msimamo.
6. Mkali / mkorofi
7. Msafi
8. Muelewa
9. Anae jiamini
10. Mwenye heshima .

Sharti: chagua moja tu, au sifa moja tu.

Kumbuka sio wanaume wote wenye sifa hizo kuna wengine ni hopeless kabisa.

Kuna msemo wa kiswahili 'Kila komba na mbuyu wake', kwa hivyo unachokiona kwako kizuri kwa mwengine kinakuwa kibaya.
 
Mimi mwenyewe nimetafuta hiyo sijaiona,imebidi nichague 10 tu maana hakuna namna.

Acha tamaa dear,endelea kuuza vitumbua vyako kwani Mungu hubariki mikono inayofanya kazi!
 
Back
Top Bottom