OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,649
- 9,239
ASEC inawajua vizuri sana wachezaji wa Yanga maana imewalea na kuwakuza kisoka kisha wakakulia hapo na mazoezini wamekabana sana na kocha Julio anawajua vizuri mno.
Aziz Ki, Pacome, Yao Yao bila kumsahau Guede, hawa wote ni zao la kocha Julio hapo ASEC pia hao vijana wake sidhani kama wanaweza kumsaliti au kumuumiza mwalimu wao wa zamani aliyewatoa kimaisha.
Yanga akipangwa na Mamelod ni salama zaidi sababu baada ya Motsepe kuinunua Mamelodi, Kocha wa kwanza alikuwa Gamond na ndiye muasisi wa soka safi mnalo liona hapo kwa Wabrazil wa South maarufu kama "Shoe shine and amapiano", yaani kubrashi viatu kwa mpira huku ukiumiliki na kuuchezea utakavyo.
Msije kusema sikuwaambia.
Aziz Ki, Pacome, Yao Yao bila kumsahau Guede, hawa wote ni zao la kocha Julio hapo ASEC pia hao vijana wake sidhani kama wanaweza kumsaliti au kumuumiza mwalimu wao wa zamani aliyewatoa kimaisha.
Yanga akipangwa na Mamelod ni salama zaidi sababu baada ya Motsepe kuinunua Mamelodi, Kocha wa kwanza alikuwa Gamond na ndiye muasisi wa soka safi mnalo liona hapo kwa Wabrazil wa South maarufu kama "Shoe shine and amapiano", yaani kubrashi viatu kwa mpira huku ukiumiliki na kuuchezea utakavyo.
Msije kusema sikuwaambia.