Mkuu usimalizie kushangaa ili nami niunganishe mshangao wangu humo humo alaf tuhitimishe mshangao kwa pamoja. Hivi ni vioja vya nchi ya kusadikika ya TZ,hapa usalama wa taifa uko wapi kama watu wanakaa wanapanga kuipindua govt.na watawala wanakaa kuliakulia tu. Wasiri anasimama anakaa na kuueleza uma kuwa cdm wamepewa hela nyingi ili kuipindua nchi! Ivi sheria zinazohusu fedha haramu zimefutwa lini Tanzania?ukisoma Anti Money Loundering Act,ukasoma sheria za uhujumu uchumi,utashindwa kuelewa kama taifa lina serikali,mkuu anadai anapinduliwa,hapa si ndo Lema pia adai tumfanyeje Jk kama ataonekana kulidanganya taifa kuwa kuna wahaini? Kumbuka ikulu chini ya mkurugenzi wa mawasiliano Salva alishalitangazia taifa kuwa Dr.Slaa amezeeka vibaya na ameweuka,je mbona wanaendelea kumuandama?au wameamua kumjibu regardless kuwa ni 'mweu'?je mbowe?naye ni nani sasa! Sophia simba aliwaasa wanawake watunyime Unyumba kama tukìipenda chadema,iyo akili au tope kichwani? Mh.dr.slaa usikate tamaa,kuikomboa taifa ni kazi sana,tulia maana wee ndo mkombozi wetu. Cdm ni chama pekee kinachoweza kunikomboa mimi kama maskini. Nawapongeza cdm,nawashangaa watawala wetu!