johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,939
- 141,912
Siasa ni sayansi.
Ni dhahiri mgombea wa Chadema atakuwa Lazaro Nyalandu na mchungaji Msigwa yeye ni msindikizaji tu.
Ikumbukwe Mh Mbowe na Nyalandu walisafiri hadi Ubelgiji aliko Lisu na kufanya mazungumzo ya kina.
Hivyo Mwenyekiti na makamu wake pamoja na waziri kivuli wa Utalii wakati Nyalandu akiwa Waziri wa Utalii wameshakamilisha awamu ya kwanza ya kumpitisha Lazaro kiaina.
Sasa atasubiriwa mgombea wa ACT Wazalendo ili apimane ubavu na huyu wa Chadema kisha apitishwe mmoja atakayewakilisha muungano wao.
Maendeleo hayana vyama!
Ni dhahiri mgombea wa Chadema atakuwa Lazaro Nyalandu na mchungaji Msigwa yeye ni msindikizaji tu.
Ikumbukwe Mh Mbowe na Nyalandu walisafiri hadi Ubelgiji aliko Lisu na kufanya mazungumzo ya kina.
Hivyo Mwenyekiti na makamu wake pamoja na waziri kivuli wa Utalii wakati Nyalandu akiwa Waziri wa Utalii wameshakamilisha awamu ya kwanza ya kumpitisha Lazaro kiaina.
Sasa atasubiriwa mgombea wa ACT Wazalendo ili apimane ubavu na huyu wa Chadema kisha apitishwe mmoja atakayewakilisha muungano wao.
Maendeleo hayana vyama!