Sheillah Sheillah
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 583
- 1,478
Habari.
Ulishakutana na mtu ambae kila kitu kinachoongelewa ni either kilishamtokea yeye au kilishamtokea ndugu yake au rafiki yake?
Yeye anajua kila kitu.? Hamna story utaleta asidakie "hata mimi ..." " baba yangu nae hivyo hivyo...".?
Leo nilikuwa saloon kama kawaida story zinapigwa. Kuna dada daah kila kitu yeye anakijua yaani. Kama ni vya aibu anasema rafiki yake kilimtokea au alifanya, kikiwa ni cha kishujaa anasema kafanya yeye.
Nikaona huyu ngoja nimjaribu nikasema "Juzi nilikula nyama ya mbwa" bishost nae huyoo kadakia na yeye alishakula nyama ya mbwa ila hakujua akaja kujua baadae. Sikuweza kuvumilia huo ujinga nikatoka zangu nje.
Watu ambao wanajidai kila kitu wanajua na kilishawatokea siwapendi. Ni aina gani ya watu ambao hauwapendi?
Ulishakutana na mtu ambae kila kitu kinachoongelewa ni either kilishamtokea yeye au kilishamtokea ndugu yake au rafiki yake?
Yeye anajua kila kitu.? Hamna story utaleta asidakie "hata mimi ..." " baba yangu nae hivyo hivyo...".?
Leo nilikuwa saloon kama kawaida story zinapigwa. Kuna dada daah kila kitu yeye anakijua yaani. Kama ni vya aibu anasema rafiki yake kilimtokea au alifanya, kikiwa ni cha kishujaa anasema kafanya yeye.
Nikaona huyu ngoja nimjaribu nikasema "Juzi nilikula nyama ya mbwa" bishost nae huyoo kadakia na yeye alishakula nyama ya mbwa ila hakujua akaja kujua baadae. Sikuweza kuvumilia huo ujinga nikatoka zangu nje.
Watu ambao wanajidai kila kitu wanajua na kilishawatokea siwapendi. Ni aina gani ya watu ambao hauwapendi?