Ni Watanzania wangapi wanaifahamu Katiba ya Tanzania kabla ya kufanyiwa marekebisho?

daniel don

Member
Jun 28, 2012
43
3
:yawn:Katika ufahamu wangu wa kawaida nilionao sina uhakika kama watanzania wenye uwezo wa kujua na kufafanua katiba yao wanaweza kufika 50% sasa iweje kuwepo kwa mchakato wa kukusanya maoni ya wananchi kuhusu uundwaji au marekebisho ya katiba mpya? Nimekuwa nikisikia leo wapo hapa kesho watakuwa pale, binafsi sijajua nini hasa nitachangia..Naomba wadau mnielimishe jinsi ya kuchangia KATIBA MPYA. Zoezi hilo naona linakwenda kwa kasi sana.
 
Siasa,ardhi,elimu,afya na ajira yote hayo yanaitajika ktk kuunda katiba mpya,uandishi wake ndo unahitaji utaalam lakin hayo yoote ni mambo yahusuyo katiba.
 
Nchi zote Duniani wananchi wake kwa asilimia kubwa hawafahamu katiba za nchi zao isipokuwa wanazijua haki zao.
 
Back
Top Bottom