kama unauprocess mfano (kuusaga) kwa dar kariakoo yale maduka ya viungo pengine unaweza pata watejawakuu kwa mwenye kujua wapi nawezakupata soko la uhakika la mmea ambao hutumika kama tiba na viungo vya nyama na mapishi mbali mbali unaotambulika kama ROSEMARY PLANT....natanguliza shukran